Hii Nimeipenda wastushirkisheAcha wafu mzikane
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Stori zako hazipo tofauti na Mange makengeza
Duuh hivi ukimaliza kuitwa kijana unakuwa mzee au nini kinafuata maana nahisi nayemelea ukomoMiaka 35-40 utachagua mwenyewe katikati ya miaka hii.
Mkuu mimi sikatai Kipala kuchaguliwa na UVCCM, kwa utendaji ni mtendaji mzuri sana na nina imani ataiongoza vyema UVCCM kama atachaguliwa lakini hilo haliondoi ukweli kwamba hana miaka 29. Na kwa jinsi alivyo mtu wa system hakuna atakayemgusa na ndiye atakayepata hiyo nafasi liwe jua iwe mvua.Acha kubashili kijana.....Ila tambua kama ni mzee basi ndio chaguo la Vijana wa UVCCM.
Kila kijana ana maamuzi yake binafsi mbona walioingizwa kwenye kinyang’anyiro hiko karibia wate vibabu inakuwaje mumvute shati huyu pekee....
Pambanen na vyama vyenu ya UVCCM waachieni UVCCM.
Tuwe wakweli kabisa, kama Kipala amesema ana miaka 29, huo ni uongo wa wazi. Jamaa tumehitimu naye pale UDSM mwaka 2011alikuwa mbabu tu,iweje hadi leo miaka sita baadae aje kuwa na miaka 29?. Sema ndo hivyo tena kwa vile ni mzee wa kitengo kule kwa wazee wa kaunda suti na miwani nyeusi.
Naona naZeeka sasaUtakuwa kijana wa makamo(Baba) [emoji4]
Na kweliPole kama muislam tia udhu ukaswali kifo kinakunyemelea....[emoji17]
Ndy manake Acha wenyewe wachague hko hata Kama Ana Miaka 60 na anadai Ana Miaka 35 watajuana wenyewe hukoMiaka 35-40 utachagua mwenyewe katikati ya miaka hii.