Uthibitisho: Mathias Kipara mgombea UVCCM kafoji umri

Uthibitisho: Mathias Kipara mgombea UVCCM kafoji umri

Toka juzi baadhi ya magroup ya CCM yameangazia Uchaguzi Wa Uvccm kwa jicho la ukaribu kwani huko ndio roho ya Chama.

Kiukweli yapo matukio mengi yanaendelea kwenye kufikia hitimisho la uchakato huo December 2017.

Ndugu Shaka Vijana wengi walihamasika kugombea na wengine waliweza kwenda mpaka Dodoma kukaa zaidi ya siku 3 lakini kuna jambo linajadiliwa sana kuhusu Umri Wa baadhi ya wagombea kuwa ni zaidi ya umri takiwa Wa mgombea ndani ya Uvccm.

Ndugu Kaimu Katibu ndio muda muafaka kuliongelea hili na ikibidi kutoa mapendekezo ya Kuondolewa wagombea ambao wamedanganya umri wao.

Kwa ujumla jumuiya ilipo sasa inaitaji viongozi makini ambao sofa zao ziwe za kweli tukimbuke serikali Makini ya Rais wetu Magufuri aliweza kuondoa watumishi waliokosa sifa zikiwemo za waligushi vyeti.

Kwa kuendeleza dhana hiyo ya kuondoa wasio nasifa kwenye nafasi mbalimbali.

Vema mkurungezi Wa Uchaguzi Wa Uvccm ambaye ki muongozo ni Kaimu Katibu Mkuu Shaka.

Kwa kumalizia tu ebu angalia mfano Wa Mgombea huyu Wa nafasi ya Uwenyekiti anavyojinasibu kuwa na umri sawa wakati amedanganya kupitia kopi ya cheti chake halisi juu ndio umri wakeView attachment 639586
Fact
 
Ccm ni taasisi na idara nyingi zilizosheheni wabobezi wa mambo nyeti ya kila aina, mpaka ukiwa ndani ya ccm haina shaka wameshajiridhisha na mienendo yako kihistoria na tabia na ni taasisi makini isiookoteza taarifa wala kutiliwa shaka taarifa zako,tunashangaa tabia hii ya ajabu inatoka wapi ni tabia tuliozoea na kuiona upande wa pili!
 
Ccm ni taasisi na idara nyingi zilizosheheni wabobezi wa mambo nyeti ya kila aina, mpaka ukiwa ndani ya ccm haina shaka wameshajiridhisha na mienendo yako kihistoria na tabia na ni taasisi makini isiookoteza taarifa wala kutiliwa shaka taarifa zako,tunashangaa tabia hii ya ajabu inatoka wapi ni tabia tuliozoea na kuiona upande wa pili!
Sema, umefoji umri au hukufoji? Hiyo ndiyo hoja hapa, acha porojo
 
KWA KUWA NI MSUKUMA HAKUNA SHIDA AGOMBEE TU, HAO NDIO WALIOTUPIGIA KURA
 
But huu ni udhaifu mkubwa sana kwa Sekretariate ya CCM waliojinasibu kuwa wamefanya kazi kubwa na imara...

Tule mwingine sijui Mwesiga naye kazaliwa 1984..
 

Attachments

  • 9A3B08DB-A5AB-4077-AF6D-DD1AE26C2C0C.jpeg
    9A3B08DB-A5AB-4077-AF6D-DD1AE26C2C0C.jpeg
    117.2 KB · Views: 41
Back
Top Bottom