Mkuu unakumbuka ishu ya umri iliyomkuta masauni? Au kipindi kile masauni hakuwa ccm?Ccm ni taasisi na idara nyingi zilizosheheni wabobezi wa mambo nyeti ya kila aina, mpaka ukiwa ndani ya ccm haina shaka wameshajiridhisha na mienendo yako kihistoria na tabia na ni taasisi makini isiookoteza taarifa wala kutiliwa shaka taarifa zako,tunashangaa tabia hii ya ajabu inatoka wapi ni tabia tuliozoea na kuiona upande wa pili!