Foffana
JF-Expert Member
- Oct 29, 2022
- 2,684
- 4,383
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan jana Novemba 29,2025 ameongoza Kikao cha Kamati Kuu Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa cha uteuzi wa wagombea wa CCM wa nafasi za Mameya wa Majiji na Manispaa pamoja na Wenyeviti wa Halmashauri za Miji na Wilaya.
Kikao hicho kimefanyika Zanzibar, na hii leo Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM anatarajia kuzungumza na waandishi wa Habari kutangaza majina ya walioteuliwa kugombea katika nafasi za Umeya.
Source
Kikao hicho kimefanyika Zanzibar, na hii leo Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM anatarajia kuzungumza na waandishi wa Habari kutangaza majina ya walioteuliwa kugombea katika nafasi za Umeya.
Source