fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,411
- 7,966
Tuache ujinga samua ni rais wa jamhuri ya muungano,anayo mamlaka ya kumteua mtanzanua yoyote amtakayeWakuu habari ya muda, nimeona uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Anga Tanzania (TCAA) Bi. Mtumwa Khatibu Ameir kutoka zanzibar.
Bi Mtumwa alikuwa ni Mkuu na Msimamizi wa Hakimiliki Zanzibar.
Bodi ya Mamlaka ya Anga Tanzania (TCCA) ni bodi ambayo ni huru kwa shughuli zake.
Mamlaka ya Anga Tanzania iko chini ya Wizara ya Miundo Mbinu na Uchukuzi( nitaomba kusahihishwa kama nitakosea)
Swali langu la Msingi ni kwamba, Wizara ya Miundo Mbinu na Uchukuzi ni Wizara mojawapo ambayo iko chini ya Wizara ambazo ziko kwenye Muungano?
Kama haiko chini ya wizara zilizoko chini ya Wizara za Muungano, Ni Sahihi kwa uteuzi alioufanya Rais Samia kumteua Bi. Mtumwa Kutoka Zanzibar kuwa Mkiti wa Bodi ya Taasisi ambayo sio Sehemu ya Muungano?
Naomba kueleweshwa Wakuu
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app