mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,253
Wa ikulu anakuwa msemaji wa raisi pekee, wakati wa maelezo ni wa serikali. Taarifa ambazo sio za ikulu ndio zitatolewa msemaji wa serikali.Kwa nini msemaji mkuu wa serikali awe tofauti na mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Ikulu?