Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,389
- 1,257
WanaJF, Salaam!
Nawafahamisha kwamba leo tarehe 02 Desemba 2020 majira ya saa 17:50's nikiwa eneo fulani mkoani Kagera kuna simu fulani imenipigia - it seems wanafahamu details zangu za kikazi, kijamii, na kisiasa.
Mmoja kati ya wawili niolioongea nao amejitambulisha kwa jina la Kombo na kwamba yuko Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi Dar es Salaam. Mambo aliyonihoji ni haya yafuatayo:-
(a). Ameniuliza iwapo natumia kilevi au la - nimemjibu situmii kilevi chochote tangu kuzaliwa;
(ii). Ameuliza iwapo napenda kutoka na wanawake - nikamtaka ufafanuzi akasema iwapo napenda wanawake - nikamjibu nawapenda lkn si kwa kuwatumikisha kingono, kuwa na nyumba ndogo nk.
(iii). Ameuliza iwapo nilishiriki kura za maoni na kampeni za uchaguzi mkuu - nikamjibu nilishiriki, - ameuliza jimbo nikamdanganya na kumwambia Ivugo.
(iv). Akaniuliza iwapo nina familia - nikamwambia ninayo - akauliza wake wangapi nikamwambia mmoja.
Mwisho akaniuliza hobi yangu - nikamjibu briefly kuwa napenda sports and games.
Baada ya hapo akaniambia kuwa "endelea kuishi kama kiongozi ikiwa ni pamoja na kufika nyumbani mapema" na kuepuka migogoro na majirani. Pia akasema atarudi tena kunipa maelekezo kabla ya kukata simu akauliza iwapo niko tayari kufanya kazi yoyote nitakayopewa na kiongozi - nikamjibu kama ikiwa ktk taaluma yangu.
My take:
There is high possibility watu hawa wakawa wezi wa mitandaoni ambao hudanganya watu wengi kuhusu uteuzi. Kwa kuwa wamesema watarudi iwe leo au siku nyingine naendelea kusubiri maagizo watakayotaka kunipa - ntaendelea kukupeni taarifa. Lkn pia nakuwekea simu 06526697** ndiyo simu waliyotumia. Nimekuelezeni ili hili likifika kwenu msiibiwe kirahisi hivyo.
Msakila M Kabende
Bukoba - Kagera
02 Desemba 2020
Nawafahamisha kwamba leo tarehe 02 Desemba 2020 majira ya saa 17:50's nikiwa eneo fulani mkoani Kagera kuna simu fulani imenipigia - it seems wanafahamu details zangu za kikazi, kijamii, na kisiasa.
Mmoja kati ya wawili niolioongea nao amejitambulisha kwa jina la Kombo na kwamba yuko Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi Dar es Salaam. Mambo aliyonihoji ni haya yafuatayo:-
(a). Ameniuliza iwapo natumia kilevi au la - nimemjibu situmii kilevi chochote tangu kuzaliwa;
(ii). Ameuliza iwapo napenda kutoka na wanawake - nikamtaka ufafanuzi akasema iwapo napenda wanawake - nikamjibu nawapenda lkn si kwa kuwatumikisha kingono, kuwa na nyumba ndogo nk.
(iii). Ameuliza iwapo nilishiriki kura za maoni na kampeni za uchaguzi mkuu - nikamjibu nilishiriki, - ameuliza jimbo nikamdanganya na kumwambia Ivugo.
(iv). Akaniuliza iwapo nina familia - nikamwambia ninayo - akauliza wake wangapi nikamwambia mmoja.
Mwisho akaniuliza hobi yangu - nikamjibu briefly kuwa napenda sports and games.
Baada ya hapo akaniambia kuwa "endelea kuishi kama kiongozi ikiwa ni pamoja na kufika nyumbani mapema" na kuepuka migogoro na majirani. Pia akasema atarudi tena kunipa maelekezo kabla ya kukata simu akauliza iwapo niko tayari kufanya kazi yoyote nitakayopewa na kiongozi - nikamjibu kama ikiwa ktk taaluma yangu.
My take:
There is high possibility watu hawa wakawa wezi wa mitandaoni ambao hudanganya watu wengi kuhusu uteuzi. Kwa kuwa wamesema watarudi iwe leo au siku nyingine naendelea kusubiri maagizo watakayotaka kunipa - ntaendelea kukupeni taarifa. Lkn pia nakuwekea simu 06526697** ndiyo simu waliyotumia. Nimekuelezeni ili hili likifika kwenu msiibiwe kirahisi hivyo.
Msakila M Kabende
Bukoba - Kagera
02 Desemba 2020