Makamee
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 2,029
- 1,191
Ni wilaya iliopo ktk mkoa wa Pwani Tz.
1.Usafiri ni majahazi roho mkoni.
2.Wilaya mzima yenye wakazi wapatao 50,000/ kuna kituo kimoja tu cha polisi.
3.Hakuna sekondari ya A-level
4.Wasomi wazawa waliofikia level ya kuitwa Dk hawazidi 6 include Dk Ramadhan Dau yule wa Nssf.
WADAU wenye marafiki zenu mawaziri tukumbukeni nasisi jamani.
1.Usafiri ni majahazi roho mkoni.
2.Wilaya mzima yenye wakazi wapatao 50,000/ kuna kituo kimoja tu cha polisi.
3.Hakuna sekondari ya A-level
4.Wasomi wazawa waliofikia level ya kuitwa Dk hawazidi 6 include Dk Ramadhan Dau yule wa Nssf.
WADAU wenye marafiki zenu mawaziri tukumbukeni nasisi jamani.