Utawezaje kuacha kupiga punyeto?

back to the topic,Morgan muache jamaa aendelee na game,faida kibao wadau wamedadavua,na wengi wamesema wanaendelea na game,na wengine tulichukulia ubingwa,pamoja na yote hayo MASTERMASTER DOESNT BREAK YOUR HEART!haaaaa!haaaa!haaaa
 
MC tilly chizenga wakati unafanya hayo au unaelezea hayo fikiria mbavu zetu bana
maana mambo mengine unaeleza halafu mtu anakuimagine ulivyo na hizi story zako duh ni balaa
 

Eeeee Mungu... saidia kizazi hiki.
 

Kwi kwi kwi kwi.......
 

Hamna kitu hapo, kuna jamaa alizima moto gari yake kwa manii, hakukua na maji karibu
 

Umenivunja mbavu ya kushoti juu...
 

Hakuna maswali...
 
Hamna kitu hapo, kuna jamaa alizima moto gari yake kwa manii, hakukua na maji karibu

inawezekana mi sikatai,tatizo la huyo jamaa kipaji anacho lakini anakikalia,wenzake tumechukulia madolali!mshauri akashiriki!

yapo pia mashindano ya mwanamke mtamu zaidi,kama unajiamini we mtamu nikupe mchongo ukashiriki?kumbuka kuna interview lakini!!!!!teh!teh!teh
 
Jaman nina ndugu yangu anapenda cana hizo mambo nimemshauri aache but anacema hyo mambo ndo inamfanya apate raha kuliko hata ku du na mwanamke co naomben michango jaman nimcaidiaje.

Ha haaaa. Mkuu huyo jamaa yako ni domo zege hana lolote

Kwa mujibu wa utafiti wa kisayansi imebainika wanaume wengi wanaopiga zaidi nyeto na kuathirika na tendo hilo ni wale madomo zege

Huyo dawa yake ni kumtafutia demu tu alafu demu apewe z
A to Z kisha jamaa aanze kupewa mambo adimu .......... Ataacha mwenyewe
 

kaka umerudi?hivi ulikuwa na kisa gani kile ulichokuja nacho mara ya mwisho?
 
Jaman nina ndugu yangu anapenda cana hizo mambo nimemshauri aache but anacema hyo mambo ndo inamfanya apate raha kuliko hata ku du na mwanamke co naomben michango jaman nimcaidiaje.



Nimekuwekea post yako vizuri wakuu waichangie...........inaenda hivi sasa,


"Jaman ninapenda cana hizo mambo nimejaribu niache but hyo mambo ndo inanfanya npate raha kuliko hata ku du na mwanamke co naomben michango jaman nifanyeje?!?!"
 
kaka umerudi?hivi ulikuwa na kisa gani kile ulichokuja nacho mara ya mwisho?

Namkumbuka na mimi huyu mdau alikujaga na pasua kichwa ya ajabu..
Sijui hata aliamua nini aisee..kuna haja ya hawa watu kuwa wanatuletea 'mlishonyuma'..
 
ichubue mashine yako kwenye kokoto
 
kaka umerudi?hivi ulikuwa na kisa gani kile ulichokuja nacho mara ya mwisho?

Namkumbuka na mimi huyu mdau alikujaga na pasua kichwa ya ajabu..
Sijui hata aliamua nini aisee..kuna haja ya hawa watu kuwa wanatuletea 'mlishonyuma'..
Duh kila ninapotupia post lazima nibandikwe hili swali...........
Nipo kwenye mchakato
ukikamilika nitarudi kwa mlishonyuma wandugu

kwasasa tumsaidie huyu muheshimiwa
 
Jaman nina ndugu yangu anapenda cana hizo mambo nimemshauri aache but anacema hyo mambo ndo inamfanya apate raha kuliko hata ku du na mwanamke co naomben michango jaman nimcaidiaje.

Fuata ushauri huu hapa, ndugu yako atapona.

Rekebisha lugha kwanza ndio nitasema chochote
Tena mie nina dawa ya kunywa tatizo linaisha kabisa

Sharti, rekebisha kiswahili chako kwanza.
 
Acheni utani nyie, mtu kaomba ushauri aachane na puri halafu nyinyi mnanogesha jinsi mnavyoneemeka na puri, kisaikolojia mnamfanya huyu jamaa ajione yupo sawa, hammtendei haki huyu jamaa. Nimecheka sana hizo stori zenu za puri mnavyozinogesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…