milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,286
- 8,426
Binadamu wote ni sawa, ila wanatofautiana hali za maisha". Iwe inasomeka hivi.
Similarity and congruence principles,utofauti wa maisha ndio comparative factor ya equality,zingatia utata wa lugha ya Kiswahili.Hayo yote uliyoandika haiondoi ukweli kwmba binadamu wote ni sawa. Mada ilipaswa iwe "Binadamu wote ni sawa, ila wanatofautiana hali za maisha". Binadamu yeyote yule haijalishi ni fukara au tajiri anahitaji chakula,mavazi na malazi ili apate kuishi.
Tukale supu ya ngamia mkuu.Tuko kama vidole hatutolingana hata siku 1 kimaisha
We bado mtoto na unaishi katika illusion.Huwezi kuzungumzia maisha na kuishi kwa sasa ukajitenga na material things,hayo yote ndio kipimo kikuu cha utofauti wa watu ndugu,wewe ulipoajiriwa kwa mfano uliwaza kununua tv kubwa,sofa nzuri nk,ukawa na uhakika wakufanya muda wowote na hapo ndio ulianza kuona ahueni ,huwezi kutenganisha kuisha na material needs never.
Hata hizo haki Za binadamu hatuzipati kwa usawa,mfano kuna watu wanakufa kisa wamekuwa matibabu ilihali walipaswa kupata matibabu ili waishi,kuna watu wanafungwa maisha wakati hawana hatia kisa wamekosa wakili wakuwatetea maana hawana cha kuwalipa,na kuna mtu Ana hatia kabisa lakini anaonekana hana kosa.Binadamu ni sawa katika kupata haki za binadamu, huko kwingine hata urefu hatuko sawa kuna warefu na wafupi.
Siku moja tulikuwa tumekaa kijiweni. Akapita tajiri mmoja wa mtaa tunaoishi kwenye Range Rover mpya, kali sana. Alikuwa anajukana kwa utajiri wake. Tulikuwa tumekaa na mzee mmoja, akaanza kuchoma choma ardhi kwa kijiti, tena kwa ghalabu huku akisema, ''hata uendeshe gari gani, wote njia yetu ni moja tu, tunaelekea huku'', akimaanisha ardhini. Na mara wote tuliokuwa pale tukajisikia kuliwazika na tukajiona na furaha, kama tumetua mzigo mzito.
Hii kauli yako nitaiandika nyumu ya Gari langu mbuvu nililonunua kwa shilingi laki tisa ambayo huku mtaani watu wamelipa jina la 'tetanus' kutokana na kuvamiwa na kutu kwa kukosa service.Binadamu wote ni sawa mbinguni!
Duniani sahau hiyo kauli.
Sijawahi ishi kwa illusion na wala sio mtoo,jenga hoja zako watu wakuelewe, yamkini huelewi mantiki ya falsafa ,kwa mifano chukulia mfano falsafa ya muda.We bado mtoto na unaishi katika illusion.
Ungesema materials things inaongeza life span , inajenga Afya na inakufanya unaishi long life ungekuwa sahihi.
Unajua kuwa life span imepungua Sana sasa hivi though kuna material things nyingi.
Lifespan ya nchi gani unaongelea mkuu? Tanzania?Unajua kuwa life span imepungua Sana sasa hivi though kuna material things nyingi.
Lifespan ya nchi gani unaongelea mkuu? Tanzania?
Unaweza weka ushahidi wa takwimu kuonesha kwamba life span imeshuka?
Okay.Sawa subiri takwimu zinakuja .
Kwani yeye Haendi Toilet!!!Anashusha kama wewe tuLeo unaibuka unasema JK na wewe ,binadamu wote ni sawa.
Hiyo kauli ni wakati wa kufutwa.
Uumbaji ki vipi ?Msemo wa usawa ni kwenye uumbaji, haiwezekani tuwe swa kwenye uchumi ndugu, kama ulikuwa unawaza hivo uko mbali mno ndugu.
Uumbaji ki vipi ?