The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 810
- 1,667
Wakati wa Nuhu na gharika watu wa dizaini yako walikuwepo.Fanya kazi ndugu. Dunia hii tuliyopo ina umri Wa 4.5 billion sasa wewe endelea kuota. Utakufa wewe na siyo Dunia
Walimwona jamaa [Nuhu] kama fala na mjinga fulani hivi anayeongea mambo ambayo ni impossible kwa sababu dunia ya wakati ule ilikuwepo kwa mabilioni ya miaka..!!
Kwa kutoelewa na kusikia kwao, walimwambia mzee Nuhu, "fanya kazi wewe, dunia hii iko kwa zaidi ya miaka bilioni kadhaa, wewe unasemaje itaangamizwa..??"
Yaani wito wa kuwataka waingie kwenye Safina tu tena bure bila kulipa chochote wakaudharau na matokeo yake wote walikufa kwa maji na Nuhu na jamaa yake kadhaa tu ndio walipona..!!
Ndugu, be very carefully..