Utatoka na nani wa JF?

Utatoka na nani wa JF?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,147
Reaction score
55,635
Mnavyojua tena mwisho wa mwaka, huwa kuna mambo mengi; ata kama ni bahili sana, itabidi kujichanga changa hata kidogo, angalau nawe uweze kusherehekea pale panapo wezekana.

Na sherehe inafana zaidi, pale unapokuwa na kampani au mwenza wako wa karibu.

Kwa upande wangu, mi nitatoka na huyu mdada mrembo matata yumo humu, mwenye sifa zifuatazo; ni mrefu wa wastani, umbo namba nane, mguu wa bia, weupe wa wastani, ana nywele ndefu, aombi sana ela, anaongea kwa staa, na anajua kushukuru hata kwa kile kidogo.

Kwa hisani ya huyo mrembo, atawapungia mkono popote pale ulipo.

Je wewe, utatoka na nani?

Wakati ukiwa unajishauri, pata kiburudisho:-
 
Mnavyojua tena mwisho wa mwaka, huwa kuna mambo mengi; ata kama ni bahili sana, itabidi kujichanga changa hata kidogo, angalau nawe uweze kusherehekea pale panapo wezekana.

Na sherehe inafana zaidi, pale unapokuwa na kampani au mwenza wako wa karibu.

Kwa upande wangu, mi nitatoka na huyu mdada mrembo matata yumo humu, mwenye sifa zifuatazo; ni mrefu wa wastani, umbo namba nane, mguu wa bia, weupe wa wastani, ana nywele ndefu, aombi sana ela, anaongea kwa staa, na anajua kushukuru hata kwa kile kidogo.

Kwa hisani ya huyo mrembo, atawapungia mkono popote pale ulipo.

Je wewe, utatoka na nani?
Mbona umeishia kumsifia badala ya kumtaja? Unatoka na nani? Mtaje jina.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom