Utata wa mimba

Utata wa mimba

Mwanamke gani Jeuri hivyo?

Me hiyo kauli ya kama " kama ninayo si ina baba ake?" Yaani ndio ungekuwa mwisho wetu.
 
Hpn bwana hy haipo kbs huyo alikuwa na mashaka hajiamin na mimba alikuwa nayo usikubal kirahi muulize upime maelezo yk
 
wala sio eti mimi sipendi mtoto. nilimuuliza kwa upole but majibu ndo yakawa hayo. but kwasaa ni mpole hatari, yaan hadi namshangaa kawa so close than ever before

itakuwa kuna mtu mwingine alipewa hiyo mimba siku za mwanzoni inawezeka ameikataa au huduma haziko poa ndiyo maana amejirudi kwako akiwa mnyenyekevu anaogopa kuharibu na kwako.
Mtoto ni baraka mwayaa we leaa tuu lakini fanya calculation zako upate uhakika
 
itakuwa kuna mtu mwingine alipewa hiyo mimba siku za mwanzoni inawezeka ameikataa au huduma haziko poa ndiyo maana amejirudi kwako akiwa mnyenyekevu anaogopa kuharibu na kwako.
Mtoto ni baraka mwayaa we leaa tuu lakini fanya calculation zako upate uhakika
thanks
 
Co kad tu na akupe maelezo ya kutosha bora kulea mimba usiojua kuliko kukutia mashaka kwa majb yk
yeah, iyo kweli, mi nipo tayari kulea, ila nilee nikijua kama ni yangu au sio! kuliko kwasasa cna peace of mind kabisa
 
Hpn bwana hy haipo kbs huyo alikuwa na mashaka hajiamin na mimba alikuwa nayo usikubal kirahi muulize upime maelezo yk
nshamuuliza, ila majibu yake yana mashaka, hajibu direct, majibu yake ni "ukipanda miogo husitegemee kuvuna mahindi", kama nilipenda utamu basi hayo ndo matokeo. kiukweli nahuruma sana mda mwingine namhurumia nabaki mpole maana nimeambiwa mtu akiwa namimba stress hazitakiwi. nilianza kama kumpotezea akawa ananilaumu ikabidi nijifanye mjinga siku ipite (ajifungue)
 
Mwanamke gani Jeuri hivyo?

Me hiyo kauli ya kama " kama ninayo si ina baba ake?" Yaani ndio ungekuwa mwisho wetu.
wanawake wa siku hizi kuwavumilia tu ndugu yangu, si unawajua wachaga?! binti wa kichaga so ndo ivyo namchukulia poa, yakinishinda nasepa.
(nimependa signature yako).
 
wanawake wa siku hizi kuwavumilia tu ndugu yangu, si unawajua wachaga?! binti wa kichaga so ndo ivyo namchukulia poa, yakinishinda nasepa.
(nimependa signature yako).

Ndugu wanawake wa siku hizi ukiwaachia kidole watachukua mkono wote.....

Anyway we have different ways of dealing with women, me njia yangu ni kauli za kishenzi hazivumiliki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom