Utata wa mimba

Utata wa mimba

kwa uelewa wangu..!
huyo dada aliwaweka wawil..!
ni ngumu sana uwe na mimba usimjuze mhusika no matter reaction wanawake huwa tuko hivo..! kama ni tofaut basi kuna shida mahal.!
what i can see kaona wewe unapangika ( yaan mwepesi kuelewa) , lazma kapeleka huo mzigo mahal katolewa balu, yawezekana kwel ni ya kwako ila alitaka kumpachikia mtu kachomoa ndo kaona airudishe kwa mwenyewe..!
kaen naye chin vzur utaprove haya
asante kwa ushauri
 
Jamaa anataka kuhakiki kama yeye ni Baba husika au kabambikiwa. Hana jinsi hapa inabidi asubiri mtoto azaliwe ili afanye DNA kuhakiki kama yeye ni Baba husika.

" kama ninayo si ina baba ake?''...what a line!!!
 
Inaonesha kuwa nyie waume mpo zaidi ya mmoja kwahiyo alikuwa bado hajafanya maamuzi anafikiria ni yupi wa kumpa mtoto na hatimaye ameamua akupe wewe baada ya vigezo alivyovitaka kuvipata
 
Naomba mnisaidie kwa wanaojua, uchukua muda gani hadi binti kukwambia ana mimba yako? kuna dada tuko nae kenye mahusiano mwaka moja na miezi miwili.

Kwasasa ana mimba ya miezi saba. Habari za mimba nilianza kuzisikia toka kwa rafiki zake, nikamuuliza "nasikia una mimba?" akasema " kama ninayo si ina baba ake?", nikatulia maana niliona anataka kuwa mkali.

Baada ya mimba kufikisha miezi mitano ndo akanambia eti ana mimba, nikamwambia si nilikwambia walinambia una mimba ukakataa? akasema si nilikwambia ina baba ake?. akanambia kama nilipenda utamu basi nikubali na mengine. wasiwasi wangu kwanini hakunambia mapema? yaani wiki ya kwanza ya mimba?

Yeye anadai mimba ya kwangu. mwenye uzoefu katika hili anisaidie nipo njia panda ndugu zangu! akina dada nategemea mawazo yenu katika hili. i'm so confused. Dada tunasoma nae chuo kikuu hapa Dar.

Mkuu jiongezee wewe, kusoma hujui hata lugha ya picha pia ikushinde!!?....Sema nakushauri uzungumze nae vizuri then kama unahisi anakupenda kweli basi hayo mengine mwachie Mungu coz mtoto ni Baraka kutoka kwa Mungu no matter amepatikanaje na mazingira yapi....Be responsible kama dada anakupenda kweli na wewe kumpenda...All the best baba kijacho.
 
Mkuu jiongezee wewe, kusoma hujui hata lugha ya picha pia ikushinde!!?....Sema nakushauri uzungumze nae vizuri then kama unahisi anakupenda kweli basi hayo mengine mwachie Mungu coz mtoto ni Baraka kutoka kwa Mungu no matter amepatikanaje na mazingira yapi....Be responsible kama dada anakupenda kweli na wewe kumpenda...All the best baba kijacho.
asante. dada ananipenda kweli hilo nshaprove
 
Inaonesha kuwa nyie waume mpo zaidi ya mmoja kwahiyo alikuwa bado hajafanya maamuzi anafikiria ni yupi wa kumpa mtoto na hatimaye ameamua akupe wewe baada ya vigezo alivyovitaka kuvipata
mmh! hawa akina dada ni shida kweli!
 
Naomba mnisaidie kwa wanaojua, uchukua muda gani hadi binti kukwambia ana mimba yako? kuna dada tuko nae kenye mahusiano mwaka moja na miezi miwili.

Kwasasa ana mimba ya miezi saba. Habari za mimba nilianza kuzisikia toka kwa rafiki zake, nikamuuliza "nasikia una mimba?" akasema " kama ninayo si ina baba ake?", nikatulia maana niliona anataka kuwa mkali.

Baada ya mimba kufikisha miezi mitano ndo akanambia eti ana mimba, nikamwambia si nilikwambia walinambia una mimba ukakataa? akasema si nilikwambia ina baba ake?. akanambia kama nilipenda utamu basi nikubali na mengine. wasiwasi wangu kwanini hakunambia mapema? yaani wiki ya kwanza ya mimba?

Yeye anadai mimba ya kwangu. mwenye uzoefu katika hili anisaidie nipo njia panda ndugu zangu! akina dada nategemea mawazo yenu katika hili. i'm so confused. Dada tunasoma nae chuo kikuu hapa Dar.

Pole sana, hapa waweza kupata ushauri wa kukupa presha ila kwakuwa umeomba basi jiandae tu kupokea kila aina ya ushauri unaopenda na usioupenda.

Sababu ya kwanini hakukwambia mapema inawezekana kabisa alikuwa na mpango wa siri na aka fail.

Possibly alitaka kuitoa bila wewe kujua au kuna mtu mwingine alimpa akakataa ndio hakuwa na jinsi akakuhusisha wewe. jibu la "kama ninayo si ina baba yake" sio inshu maana angeweza kukwambia hivyohivyo kama angempa mwingine.

Na wewe mkuu, unamahusiano na mwanamke mjamzito huoni changes zozote hadi uwambiwe na marafiki zake!!!!!?
 
Pole sana, hapa waweza kupata ushauri wa kukupa presha ila kwakuwa umeomba basi jiandae tu kupokea kila aina ya ushauri unaopenda na usioupenda.

Sababu ya kwanini hakukwambia mapema inawezekana kabisa alikuwa na mpango wa siri na aka fail.

Possibly alitaka kuitoa bila wewe kujua au kuna mtu mwingine alimpa akakataa ndio hakuwa na jinsi akakuhusisha wewe. jibu la "kama ninayo si ina baba yake" sio inshu maana angeweza kukwambia hivyohivyo kama angempa mwingine.

Na wewe mkuu, unamahusiano na mwanamke mjamzito huoni changes zozote hadi uwambiwe na marafiki zake!!!!!?
kiukwel nilikuwasijui chochote, siku moja dada fulani alinicheka sana (rafiki yake) baada ya kumwambia mi cjui kama ana mimba. sikuona changes zozote ndugu yangu
 
mbuzi kwenye gunia mwenzie kakataa anakupa wewe
mteme haraka au subiri ajifungue mtoto hufanani nae kimbia haraka
 
(kama ninayo si ina baba ake)
Una bahati wako shuleni laiti kama wangekuwa likizo ungetukanwa mpaka makaburi ya kwenu na ujinga wako
 
kwa uelewa wangu..!
huyo dada aliwaweka wawil..!
ni ngumu sana uwe na mimba usimjuze mhusika no matter reaction wanawake huwa tuko hivo..! kama ni tofaut basi kuna shida mahal.!
what i can see kaona wewe unapangika ( yaan mwepesi kuelewa) , lazma kapeleka huo mzigo mahal katolewa balu, yawezekana kwel ni ya kwako ila alitaka kumpachikia mtu kachomoa ndo kaona airudishe kwa mwenyewe..!
kaen naye chin vzur utaprove haya

Na chuo hzo ndo habari ya mjn.....nina uhakika na hilo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom