- Thread starter
- #61
mmh! aya sheikhKwa sababu alikuwa anahakikisha baba sahihi...
Na jumba bovu limekuangukia weye sheikh....
mmh! aya sheikhKwa sababu alikuwa anahakikisha baba sahihi...
Na jumba bovu limekuangukia weye sheikh....
ivi condom ya sh 5000 au 2500 ni sheeeda?Naomba mnisaidie kwa wanaojua, uchukua muda gani hadi binti kukwambia ana mimba yako? kuna dada tuko nae kenye mahusiano mwaka moja na miezi miwili. Kwasasa ana mimba ya miezi saba. Habari za mimba nilianza kuzisikia toka kwa rafiki zake, nikamuuliza "nasikia una mimba?" akasema " kama ninayo si ina baba ake?", nikatulia maana niliona anataka kuwa mkali. Baada ya mimba kufikisha miezi mitano ndo akanambia eti ana mimba, nikamwambia si nilikwambia walinambia una mimba ukakataa? akasema si nilikwambia ina baba ake?. akanambia kama nilipenda utamu basi nikubali na mengine. wasiwasi wangu kwanini hakunambia mapema? yaani wiki ya kwanza ya mimba? Yeye anadai mimba ya kwangu. mwenye uzoefu katika hili anisaidie nipo njia panda ndugu zangu! akina dada nategemea mawazo yenu katika hili. i'm so confused. Dada tunasoma nae chuo kikuu hapa Dar.
asante, itawezekanaje kuchukua dna bila mama kujua? had mtoto afikie miez mingapi ndo naweza chukua dna?
Wengi wanaogopa kusema mapema hamkawii kuwaambia watoe.
asante, itawezekanaje kuchukua dna bila mama kujua? had mtoto afikie miez mingapi ndo naweza chukua dna?
inshu ishatokea, don't blame me. unajua wanawake wabishi kutumia condom, after all kama mko safe condom ya nini?! umakini huitajika siku za hatar, na mwanamke ndo hujua cku zake za hatari but she didn't tell me!ivi condom ya sh 5000 au 2500 ni sheeeda?
mmmh! is it possible?!Haina sababu kumchek ukishalea wako huyoo
Mbona wengi wamelelewa na wasio babazao na hawajui
nasubiri ajifungue ili nicalculate the day we met and a day she gives birthkwanini huyo binti mjeuri hivyo lakini?? kama umri wa mimba upo ndani ya kipindi cha uhusiano wa kutiana accept it, ila ujeuri wake ushaniboa
mmh! i don't know, tell meMmmh, Mkuu hapo taa ya njano imewaka., hopefully you know what I mean
Naomba mnisaidie kwa wanaojua, uchukua muda gani hadi binti kukwambia ana mimba yako? kuna dada tuko nae kenye mahusiano mwaka moja na miezi miwili.
Kwasasa ana mimba ya miezi saba. Habari za mimba nilianza kuzisikia toka kwa rafiki zake, nikamuuliza "nasikia una mimba?" akasema " kama ninayo si ina baba ake?", nikatulia maana niliona anataka kuwa mkali.
Baada ya mimba kufikisha miezi mitano ndo akanambia eti ana mimba, nikamwambia si nilikwambia walinambia una mimba ukakataa? akasema si nilikwambia ina baba ake?. akanambia kama nilipenda utamu basi nikubali na mengine. wasiwasi wangu kwanini hakunambia mapema? yaani wiki ya kwanza ya mimba?
Yeye anadai mimba ya kwangu. mwenye uzoefu katika hili anisaidie nipo njia panda ndugu zangu! akina dada nategemea mawazo yenu katika hili. i'm so confused. Dada tunasoma nae chuo kikuu hapa Dar.
ni kweli ila nahisi hujui how it pains mwisho wa siku unagundua si yako, kwanza rafiki zangu watanishangaa sana coz walikuwa wanajua relation yetu. asante lakin
nasubiri ajifungue ili nicalculate the day we met and a day she gives birth
asante. ntamwomba kad niangaliempaka ajifungue ni leo, angalia kadi ya clinic kuna EDD na last MP utajua kama wewe ndio unahusika au lah
nshaisoma! what next?Naomba usome ID yako!!
wala sio eti mimi sipendi mtoto. nilimuuliza kwa upole but majibu ndo yakawa hayo. but kwasaa ni mpole hatari, yaan hadi namshangaa kawa so close than ever beforeUmeeleza kwa ufupi mno. Siamini huyo binti aliyatoa hayo majibu ulipomwuliza bila kuwa na mazingira ambayo yalimsukuma kukujibu vibaya.
Fikra zangu hiyo ni mimba yako ila wewe kila mara umeonekana kutopenda kupata mtoto. Hivyo msichana wako aliona ili usimsumbue au kumshauri akatoe aheri akujibu hivyo.
asante kwa ushauriHuyo demu kauzu kweli, kwangu Mimi ningependa nipate taarifa mapema kwa sababu kujifungua ni gharama na kulea ni gharama, inahitajika kudunduliza hela za boom, field na unawapanga watu wa kukupa msaada kama ukikwama, sasa imebaki miezi mitatu ndio anakwambia ? Kwanza kakuona ----( Hilo ni jambo kubwa sana).
Mimi nakushauri hata usihangaike huyo sio mwanamke wa kuoa, na hiyo ndio kajitafutia sababu, wewe cha kufanya lea mtoto na uhakikishe unapima DNA( ndio reliable), mambo ya kucalculate siku futa kabisa mawazoni