Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Alijiona ana akili kushinda binadamu wote kumbe wenzie wanajua pa kummalizia .

Akaongeza ulinzi mabunduki kila kona kumbe wenzie hawana mpango wa kumshoot wanamsubiri azime tu wakamminyie hospital.

Pambaf zake.
Watu noma
 
Yule mpemba R.I.P baada ya mapambio kule kilwa road alirudi magogoni na mgeni huyo ila kilichofuatia huko Haile Selassie Na shaban robert au cocobeach ni bendera nusu mlingoti na nyimbo za komba.
Mbona watu wengi, ninao wafaham, hawapendi hawasemi nini hasa chanzo. Alifanya nini mpemba mpaka akapelekwa puta mazima mazima
 
Waafrika wengi wamezaliwa na kukua without proper feeding kwa sababu ya umasikini! That is why kila wakikusanyika lazima wale chakula na hii ni njaa kali! Museveni was the one targeted to be killed but walipobadilishana sahani za chakula watu wa protocol walizembea and that negligence saved M7 and the then Vice President the late Dr. Omari Ali Juma became a soft target and died at home! Funzo wacheni tabia ya ulafi ya kufakamia chakula kila ukikona. Kumtuhumu M7 it’s not only childish but stupid. Bana matumizi and stop uswahili wa kula from left and right!
Nimepata muangaza sasa... kwanini M7 walitaka kumpoteza?
 
Nimekuelewa kwann boys2 men walimsilence daktari yule ukizingatia kipindi kile yeye ndo alionekana wazi angevaa viatu vya nkapa hasa ukizingatia kuwa ilikuwa zamu ya zanzibar. Ila swali hapa ni mseveni was targeted Ni nani alibadilisha zile sahani dakika za mwisho ?
Pia aliwezaje kubadilisha sahani bila kushtukiwa?
 
Horace Kolimba (Kinana wa wakati huo) akaanza kukinanga Chama na Serikal hadharani akaitwa kujieleza kwny Kamati kuu, Mama Yake Mzazi alimkataza asiende Dodoma lakin Yeye na usomi na ujuaji wake akabeba Makabrasha ya ushahidi wa hoja zake
Alirudishwa kwny sanduku!

Sometime huwa nasema hata Yale maradhi ya Hayati Aboud Jumbe yaliyoanza baada ya kupinduliwa Dodoma Jan, 1984 pengine yalilenga 'kudumisha Muungano'
Weeee usinambie.... hebu ongeza nyama kidogo, usitupe supu ya makongoro, weka stake kabisa
 
Laurent Kabila aliendesha Mapambano ya kumtoa Mobutu akitokea Mikocheni

Rajab Hussein na Pierre Nkurunzinza walikuwa wakiendesha Mapambano ya kuwatoa kina Pierre Buyoya kutokea Buguruni kwa Mzee wa Kibwali Mzee Mnenge

Yoweri Kaguta Museven kaongoza Vurugu Uganda akiwa Dar
Edward Mondlane kaongoza Vurugu za Msumbiji akitokea Dar

Paul Kagame kaongoza Vurugu Rwanda akitokea Uganda

Hata Prof Wamba alikuwa akiongoza Vita akiwa Dar!
Upo vizuri
 
Mkuuu
Mara baada ya muungano was Tanganyika na Zanzibar na kuzaa Tanzania...mchonga aliweka watu huko Zanzibar was kuhakikisha Zanzibar inakuwa sikivu kwa Tanzania ..kwa maana ya viongoz was Zanzibar wafate kile walichokubaliana....karume baadabya kusaini na kuukubali muungano alibain kuwa amesain kitu kilichomtolea meno yote..hana maamumz kwa mambo mengi..akachukia akaanza vijimaneno maneno vyabkutaka kuuvunja muungano..
Vijana was mwl wakawa wanareport kila kitu hapo magogoni na wengi waliokwenda huko walijihusisha na uvuaji was samak Bahrain lakn kumbe wako kazin...
Siku moja mwl akaamuru vikos toka Zanzibar viende Mozambique kwenda kusaidia kupigana vitavya kudai Uhuru was nchi hiyo..kumbuka tz ilikuwa mstari was mbele katika kuosaidia Mozambique..
Karume aliposikia kuwa mwl ametoa order ya wanajeshi toka Zanzibar wamepanda boti kuelekea DSM kisha waende Mozambique ..akampigia sim mwl na kumwambia kwa mini unachujua wanajeshi wangu kwenda vitan bila ridhaa yangu?..Luna majibizano yalitokea na ndipo karume akaamuru not hiyo irud Zanzibar Mara moja..mwl alichukia sana..ikizingatiwa kuwa karume alishaanza vijimaneno meno vyabkuuvunja muungano...ndipo wale vijana walioko Zanzibar wakapewa ujumbe uliohifadhiwa ndani ya yai kisha yai likawwkwa ndan box na juu box likafunikwa na gift paper na kwenda zenji kama zawad...maandaliz yakaanza na hatimae karume akarejeshwa kule ambako huwa hawarud....
...........
Wakat akisherehekea miaka 75 ya kuzaliwa kwake..alimiminiwa wine aipendayo ndani ya glass na kugonga cheers na wageni waalikwa.baada ya cheers ile mwl akanywa wine ile funds tatu na ile Mara ya tatuwakat anatoa glass kinywan aliinua glass kwa juu akawa anaangali wine iliyobaki ndan ya glass kisha akaiweka mezan..
Tayar huko nyuma miezi minne iliyopita mwaka huo 1996 kuelekea 1997alikuwa amepiga kelele sana juu ya nia ya serikali ya kuiuza bank ya NBC....
Mwl akamwita mkapa msasan...mkapa akaenda akiwa amelewa chakali..akamkuta mwl akiwa amepumzika...mwl akapelelekewa taarifabkuwa mh yuko hapa..mwl akashuka akitokea chumban..kabla hajashuka ngaz zote alitupa jicho kwa mkapa na akamuona mkapa akiwa amelewa chakari..mwl hakuongea akarud chumban nakusema hawez kuongea na mlevi..mkapa akaondoka...
Kesho take kama kawaida mwl akaenda miss ya asubuhi hapo st peter..na Mara baada ya miss akaenda kwa kadinali pengo..ndan ya of is akaionga pengo,mwl,msaidiz was mwl na msaidiz was pengo...mwl akiwa na huzun nyingi akamwangalia msaidiz was pengo huku mwl akilia machozi na akimwambia pengo nimekuja ili uende ukamwambie kwa mini amekja kwangu akiwa amelewa namna ile nimemkosea mini?.pengo alijibu kwa kingereza akasema ..mwl I will work on it..kisha akasema kwa kiswahili nitakwenda Leo join na nitafikisha ujumbe..mwl akaaga akaondoka..
Kesho yake na hats kabla hajapewa mrejesho na pengo mwl akaenda ikulu bila taarifa..akapokelewa na wasaidz was rais..ratiba ya rais wakat huo alikuwa na ugen toka umoja was mataifa..msaidiz mmoja akaenda akamwambia mkapa..mwl amekuja yuko hapo koridon amesimama anahita kukuona..mkapa akaomba udhuru kwa wagen akaenda kumuona mwl..na ndipo mwl akamwambia ..Ben kwa nn ulikuja kwangu ukiwa umelewa..kwa nn unataka kuiuza NBC...nilikuamini sana ila umeniangusha mno malizia miaka iliyobaki ukapumzike nchi ataishika mwingine...mkapa hakujibu neno mwl akaondoka..
Kilichofuata mwl aligundulika na leukemia...akalazwa st Thomas tena general Hosp...halio yake ikazolota na mkapa akitokea uswis akapita London kumjulia halo mwl na tens hakuingia chumban alikolazwa mwl Bali alimwangalia militia kwenye kiooo na kuondoka..alipofika DSM akautangazia umma kwa kusema ..mwl is recovering very slowly..hatimae nae akarejeshwa Kule kule wasikorud October 14..lait kama angejua ile wine asingeinywa siku ile ya birthday yake.

..............
Dr omali Ali juma in kama mmoja alivosema hapo juu juu ya kubadilishwa mic na sio chakula lakini inteligensia ya Tanzania nayo ilikuwa inajua fika kuwa siku hiyo ni siku ya mwisho kwa Dr juma...kulikuwa na mambo mengi yanaendelea chini kwa chini yaliyokuwa yakiratibiwa na dr ali bili ridhaa na baraka za wakubwa....
.....
Wako wengi wameondolewa kama vile
Komba
Kolimba
Mgina(wazir wa fedha)
Jb belmonte
Amina chifupa
Balali
Sokoine..na wengine wengi tu..
MKUU kuhusu sokoine utueleze siku Moja kuhusu hilo!!!aliharibu wapi mtu mzalendo vile!!!?
 
Daah nimefika Mwisho hatimae ila aisee Haya mambo ya DSTV na nafasi nyeti kwenye Nchi ni mambo magumu sana nilipoangalia na Series kama Homeland ndo nkajua Umafia upo watu wana system zao ukitaka kwenda Against nazo inabdi uwe tayari kuacha pumzii....!! PK na DRC naona moshi unazidi kufukaa tuu hawana muda wale kitawakaaa.. Chattle boy kajipumzikia sasa boys2men wanakulaa maishaa tuu yani msererekooo wa maaana but all in all Mr.Clean nae ni mafia sana sema haachi trace...
 
88 Reactions
Reply
Back
Top Bottom