Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,368
Kwa kuwa wote ni waumini wa biblia takatifu nawaambia kabisa hapo hakuna uchumba wala nini. Wameongozwa na matamaa yao ya kimwili sasa wanajua wazi kuwa hakuna popote watapata suluhisho. Si mchungaji wa KKKT au Sabato ataifunga hiyo ndoa.
Kwa kuwa wote wanaiamini biblia takatifu wasome 2 Kor. 6 : 14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa.....
Kati yao ni nani anaamini sawa sawa na mwenzake?? Hakuna. Basi hawatafanikiwa bali wanapotezeana muda.
Wazo la kimwili; Kijana ajitahidi amtotoe huyo binti. Atalainika tu
Wasabato hawaamini Biblia bali sehemu ya Biblia, kwa kifupi hakuna ndoa hapo zaidi ya mateso ya baadae