witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,098
Kama jaji ni mwanamama hawezi chomokaNadhani bado yuko jela.
Ila alipambana sana mahakamani, jaji akiwa mwanamama.
Kama jaji ni mwanamama hawezi chomokaNadhani bado yuko jela.
Ila alipambana sana mahakamani, jaji akiwa mwanamama.
Jina lake ni Pistorius halafu unategemea nini?Inanikumbusha msala wa Oscar Pistorius.
Ila jamaa alijitetea anasema aliona mwizi ndani ya nyumba, hivyo akafyatua manati matokeo yake ndio hayo tenaNadhani bado yuko jela.
Ila alipambana sana mahakamani, jaji akiwa mwanamama.
Mama Tuli Madonsela sio wa mchezo mchezo, alimtwika Oscar mvua za kutosha tu
Jamaa kahukumiwa miaka 13 na miezi 5.Na ulemavu wake ule?
Ila jamaa alijitetea anasema aliona mwizi ndani ya nyumba, hivyo akafyatua manati matokeo yake ndio hayo tena
Aliwekwa kati hakuchomokaKama jaji ni mwanamama hawezi chomoka
.Jamaa anatumia madawa ya kulevya,, mtu hasira gani hizo mpaka unavunja mlango hivyo kama simba
Kama jaji ni mwanamama hawezi chomoka
Na ulemavu wake ule?
Jamaa kahukumiwa miaka 13 na miezi 5.
Mwaka 2027 atakuwa uraiani
Vile vile, nakumbuka wakati kesi inaendelea Oscar aliacha kuvaa ile miguu yake ya bandia akawa anatembea hivyo hivyo akiamini atahurumiwa, lakini mama Madonsela alikaza uzi. Sema Reeva alikua mzuri sana, Pistorous alimkosea sana kumuwahisha kumtoa duniani
Alimuua kwa sababu gani?Vile vile, nakumbuka wakati kesi inaendelea Oscar aliacha kuvaa ile miguu yake ya bandia akawa anatembea hivyo hivyo akiamini atahurumiwa, lakini mama Madonsela alikaza uzi. Sema Reeva alikua mzuri sana, Pistorous alimkosea sana kumuwahisha kumtoa duniani
Kafungwa lini kwani?Jamaa kahukumiwa miaka 13 na miezi 5.
Mwaka 2027 atakuwa uraiani
Maswali yako tuUnaamin aliona mwizi kweli
Au alikuwa na kisasi na huyo demu?
Unaamin aliona mwizi kweli
Au alikuwa na kisasi na huyo demu?
2015
Wivu tu wa kimapenzi mi staki niamini kua aliona mwizi atiiUnaamin aliona mwizi kweli
Au alikuwa na kisasi na huyo demu?