Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,081
- 22,363
aje huku apige mninga tuoneHuo mlango nao ni mlaini sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aje huku apige mninga tuoneHuo mlango nao ni mlaini sana
Wabongo visa sana! Kwahiyo mlango ni mlaini sioHuo mlango nao ni mlaini sana
Wewe hujaona mlango upo kama jupsamWabongo visa sana! Kwahiyo mlango ni mlaini sio
Hisia za kuchapiwa ni mbaya sana..Hivi karibuni , video zimesambaa mitandaon,zikionyesha matukio ya violence baina ya rapper kutoka Africa kusini AKA na aliyekua mchumba wake Annele ambaye ni marehemu kwa sasa. Video hizo zinaonyesha rapper huyo akivunja mlango kwq hasira na kuingia kwenye chumba cha mpenzi wake annele miezi kadhaa nyuma kabla ya kifo chake, maeneo ya Brynston huko johannesburg .
Video hizo zimezua mjadala mkubwa kuhusu kifo cha annele kinachodaiwa kilitokana na kujiua kutokana na msongo wa mawazo ambapo inasemekana mrembo huyo alijirusha kutoka chumba cha hotel huko CapeTown , video hizo zinamuweka matatani rapper huyo kuwa anahusika moja kwa moja na kifo cha mchumba wake.
Wazazi wa annelle ambao pia na wao ni mambo safi wametamka wazi kuwa kifo cha mtoto wao hakikutokana na kujiua bali kuna mkono wa wa mtu kwan wanaamin mtoto wao alikua na kila kitu alichotaman Hivyo isingekua rahis kujiua View attachment 1779919
View attachment 1779920
View attachment 1779921
Hii tabia ya wadada kuingia kwenye mahusiano na wanaume wavuta Bangi, Wala ngada, Walevi inawagharimu sana. Nashindwa kufahamu wanakwama wapi, yani wenyewe wanachukulia ni mazingira ya kawaida tu.
Hii tabia ya wadada kuingia kwenye mahusiano na wanaume wavuta Bangi, Wala ngada, Walevi inawagharimu sana. Nashindwa kufahamu wanakwama wapi, yani wenyewe wanachukulia ni mazingira ya kawaida tu.
Huyo dada ndio amezaa nae kale kabinti?Jamaa anatumia madawa ya kulevya,, mtu hasira gani hizo mpaka unavunja mlango hivyo kama simba
Sio huyo. Aliyezaa naye anajiita Dj Zinhle shost ake bosilediHuyo dada ndio amezaa nae kale kabinti?
Hivi uliishaje?Inanikumbusha msala wa Oscar Pistorius.
Hivi uliishaje?
Yuko lupango amepigwa mvua lukuki!!
khaaaaahJamaa anatumia madawa ya kulevya,, mtu hasira gani hizo mpaka unavunja mlango hivyo kama simba
Hakika kabisaaah.Unaweza ukawa na kila kitu physically ila ukakosa amani ya moyo
Nadhani bado yuko jela.Hivi uliishaje?