Utata: Kanisa la Siloam

mimi ni mchaga pia halafu mbadilike acheni ujinga......
eti phd
kweli binadamu mnyime elimu umtawale...... sasa ulikuwa unaenda huko ajili ya phd ya munuo!?

mbona hakupaa si alisema hatakufa....... kagombee mali mkuu
 
mimi ni mchaga pia halafu mbadilike acheni ujinga......
Ujinga gani? Kweli unawachukia list yote hiyo bado unawangangania? Usiwahukumu watu kwa hisia za chuki uuwe unafanya research kabla ya kuchangia mada.
 
Sijawahi kurusha nafsi yangu huko wala sitakaa niende. Nina Imani isiyoyumbishwa na Cult yoyote inayoanzishwa duniani enzi hii.Msingi wangu uko kwenye Bible na nitailinda hadi mwisho wa uhai wangu. Sihangaiki ila huwa nawasikiliza baadhi ya niliowataja na kusoma wasifu wao. I am life long Lutheran nobody can shake my belief ndugu. Sijapungukiwa chochote ninaenda bible study, fellowship na Sunday Mass. Alfajiri nashukuru Muumba wangu Na kujikabidhi kwake, Usiku nashukuru natubu najiweka tena mikononi kwake: Daily life. Nikatangetange huko Na huko natafuata nini tena?
 
Hujasema kanisa lipo wapi kiongozi?
 
Hii ndiyo ilivyokuwa siku ya kutwaliwa eliya Mungu Wa majeshi. Tizama wingu lilivyobadilika, hakukuwa na ratiba ya kuaga maana hakufa Bali alihama kituo, jeneza a.k.a Sanduku la agano alikupaswa kufunikwa na mchanga lililokuwa limebeba viungo vyake, ni zege tu ambapo hata enzi za mitume Yesu waliwekwa mapangoni,
SHIKA NENO TENDA NENO ULIYEPEWA NEEMA KUBWA HAPA
NI HERI ZAIDI KUWA MUUMINI WA KANISA HILI KULIKO KUWA MSHABIKI WA YANGA.... BORA ZAIDI KUWA MUUMINI WA KANISA HILI HATA KAMA KUNADOSALI KULIKO WAFUASI WA WANASIASA NA WAGANGA....MAANA HATA USIPOBARIKIWA BASI ANGALAU UTAJIFUNZA BIBLIA NA KUPUNGUZA UHALIFU INCHINI...bible say; Heri wale wasio enenda na wenye mizaha...
 
MIMI nalitafuta lile la kusali ukiwa NAKED[utupu] niingie nikajionee MISAMBWANDA tu.
 
Kama imani imetoka kwa MUNGU kweli litasimama lakini ukishaona figisu kama hizi basi jua hapo hapakuwa na kanisa wala MUNGU bali na fikra za mtu zilikuwa zinaabudiwa. Ogopa makanisa yanayomilikiwa na mtu, yaani kwa Mchungaji fulani, Nabii fulani, akiamua anafukuza na kuteua bila hata uongozi kupitisha maamzi.
 
Ujinga gani? Kweli unawachukia list yote hiyo bado unawangangania? Usiwahukumu watu kwa hisia za chuki uuwe unafanya research kabla ya kuchangia mada.
siwachukii wachaga nwchukiw makanisa ya kiroho ambao viongozi wake wengi hawana tofauti na wagnga wa kienyeji.. nawajua wengi tu.. na najua wanqyofanya so siwezi hata siku moja kukanyaga makanisa hayo
 
Kama vipi huyo nabii ashuke fasta aje atatue mgogoro alafu arudi zake mbinguni
nabii ashuke tena, ni shida mapema sana watu hatujatubu madhambi tuliyonayo...weeeeeee.e.e.e..e.
😑😑😑😑😑😑😑😑
 
Najiuliza siku dunia ilivyotetemeka mie nilikua dunia gani. maana sijawahi kusikia tetemeko lolote katika maisha yangu

sio tetemeko, kulikuwa na solar eclipse....barikiwa my friend
 

well said!
 
Waebrania 12:14Neno: Bibilia Takatifu (SNT)

14 Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na utaka tifu, ambao bila kuwa nao, hakuna mtu atakayemwona Bwana.
 

na ni heri kanisa kuliko mabar na madisco.......
 
Wehu peke yake ndiyo hufanya haya....sijui mnamwabudu nani nyie viumbe mungu hayupo hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…