Yaani ukienda kwake Mapinga mmmhh utashangaa jinsi alivyojijenga. Ni mji Fulani hivi kwenye walinzi na mageti ya chuma. Yule Nabii hakika alijijenga!jamaa alikuwa anamahubiri mazuri, ukipata cd zake jaribu kumsikiliza!
Mambo ya Mungu naogopa kucomenht!
Yaani ukienda kwake Mapinga mmmhh utashangaa jinsi alivyojijenga. Ni mji Fulani hivi kwenye walinzi na mageti ya chuma. Yule Nabii hakika alijijenga!
huyu si ndiye alimkebehi mungu akaaga.... unategemea niniHabari zenu wanajamvi,
Hivi karibuni kumekuwa na utata hapo kanisani. Kwamba inavyoonyesha kuwa baada ya kifo cha mwanzilishi wa kanisha hilo Elia R.I.P kumekuwa na utata unaonekana umekaaa kimaslahi zaidi.
Hali ipo hivi. Mke wa mwanzilishi wa kanisa hilo anaidiwa kutaka kujimilikisha kanisa hilo ili aweze kufanya yale anayotaka hapo siku za mbeleni.Kumekuwa na migongano ya hoja hata kufikia walinzi kupewa oda ya kuzuia waumini kuingia kanisani hapo.
Habari nilizopewa na muumin wa muda mrefu wa kanisa hilo kuwa sasa, kulikuwa na plan za kubadilisha vitasa vya vilango ili kufungwa kwa kanisa ilo.
Waumini wa kanisa hilo na watu waishio around na kanisa hilo wanaeza kutujuza zaidi.
haha.mmm..jamaa alikuwa anamahubiri mazuri, ukipata cd zake jaribu kumsikiliza!
mchaga nabii mpinga na mkebehi mungu si ndo huyuhuyu alisema hatakufaYaani ukienda kwake Mapinga mmmhh utashangaa jinsi alivyojijenga. Ni mji Fulani hivi kwenye walinzi na mageti ya chuma. Yule Nabii hakika alijijenga!
haha.mmm..View attachment 361279
Hawa jamaa walimpa jina jamaa mmoja cjui mti wa uzima,yani hawa hakuna mungu kbsa pale dada mmoja walibeba cheni eti wanaenda ikombowa kisa gold kwani ilirudi bas hatar sana
Wanasema mwanzilishi wao alichukuliwa mbinguni. na siku aliyochukuliwa lilitokea tetemeko pamoja na wingu kubwa sana wakamuona huyo nabii akipaa mbinguni. Hiyo siku sijui nilikua wapi maana sijawahi sikia tetemeko
Walimzikaje mtu aliyetwaliwa, yaani, aliyepaa? Wajinga ndiyo waliwao.iko kwenye youtube.....mazishi ya nabii eliya..
iko kwenye youtube.....mazishi ya nabii eliya..
Hahahhahaha umenichekesha sana asee eti mti wa uzima....amekua yesu sasa...vp na ww ndo ulipewa hilo siku za ajabu nn
alikufa ghaflaWalimzikaje mtu aliyetwaliwa, yaani, aliyepaa? Wajinga ndiyo waliwao.
Acha chuki binafsi ndugu kwa wachaga uunapotoa maoni tafiti kwanza. Wamiliki na waanzilishi hawa ni Wachaga?: Kakobe, MWINGIRA, Lwakatare, Fernando, Gamanywa, Gwajima, Lusekelo, Katunzi, Maboya, Mkombo, Winners, Yaspi, Kulola, Bendera, Malisa, Makuti Kawe, GeoDave list continues. Hawa nao wako vizuri kimaisha wengine hadi kumiliki ndege. Hao ni Wachaga? Aliyeachiwa Sloam si Mchaga ni Mha msomi Wa PhD naye anaendelea vizuri. Hujaona msaada waliotoa kwa jamii wiki iliyopita?mchaga nabii mpinga na mkebehi mungu si ndo huyuhuyu alisema hatakufasina naafasi ya makanisaa ya kabila hii mengine hao viongoz hawkanyagi chini kusimama wanasimama.juu ya mtu na kubwebwa muda woote aghrrr aisee bora nikalime kuliko kuabudu mqkanisa ya ajabu ajabu[/QUOTE
Acha chuki kwa Wachaga ndugu, unachuma dhambi waanzilishi Na wamiliki wafuatao: Kakobe, Gwajima, lwakatare, gamanywa, Fernando,kulola, katunzi, mwingira, maboya,
Ndo shida moja ya Makanisa ya Walokole..Kanisa linakuwa si taasisi bali ni mali ya mtu binafsi...Na mtu anakwenda kanisani kwa ajili kuna mchungaji fulani na fulani ......"mimi nasali kwa Mwingira, kwa Kakobe, Gwajima, Rwakatare...."Kuna kanisa lao hao jamaa nalifahamu Kibaigwa. Ni kama linapoteza waumini kila kukicha. Walikuwa na mbwembwe za kupiga mziki mkubwa kila saa kumi alfajiri siku hizi hakuna hiyo. Na hii imeanza baada ya Munuo kufariki.