Utata: Kanisa la Siloam

jamaa alikuwa anamahubiri mazuri, ukipata cd zake jaribu kumsikiliza!
Yaani ukienda kwake Mapinga mmmhh utashangaa jinsi alivyojijenga. Ni mji Fulani hivi kwenye walinzi na mageti ya chuma. Yule Nabii hakika alijijenga!
 
Miongoni mwa matatizo ya makanisa ya kilokole ndo hayo mchungaji mwazilishi wa kanisa akipata mahuti , kanisa nalo linakufu migogoro kila Mara, hakuna anayeweza ku-replace nafasi yake
 
Kanisa la sloam! La wapi? Arusha,Dar .......acha ushabiki
 
Yaani ukienda kwake Mapinga mmmhh utashangaa jinsi alivyojijenga. Ni mji Fulani hivi kwenye walinzi na mageti ya chuma. Yule Nabii hakika alijijenga!

isee...hiyo kali...nilifika kanisani kwake tu, mbezi mara kadhaa...
 
huyu si ndiye alimkebehi mungu akaaga.... unategemea nini
 
Yaani ukienda kwake Mapinga mmmhh utashangaa jinsi alivyojijenga. Ni mji Fulani hivi kwenye walinzi na mageti ya chuma. Yule Nabii hakika alijijenga!
mchaga nabii mpinga na mkebehi mungu si ndo huyuhuyu alisema hatakufa
sina naafasi ya makanisaa ya kabila hii mengine hao viongoz hawkanyagi chini kusimama wanasimama.juu ya mtu na kubwebwa muda woote aghrrr aisee bora nikalime kuliko kuabudu mqkanisa ya ajabu ajabu
 
Wanasema mwanzilishi wao alichukuliwa mbinguni. na siku aliyochukuliwa lilitokea tetemeko pamoja na wingu kubwa sana wakamuona huyo nabii akipaa mbinguni. Hiyo siku sijui nilikua wapi maana sijawahi sikia tetemeko
 
Hawa jamaa walimpa jina jamaa mmoja cjui mti wa uzima,yani hawa hakuna mungu kbsa pale dada mmoja walibeba cheni eti wanaenda ikombowa kisa gold kwani ilirudi bas hatar sana

Hahahhahaha umenichekesha sana asee eti mti wa uzima....amekua yesu sasa...vp na ww ndo ulipewa hilo siku za ajabu nn
 
Wanasema mwanzilishi wao alichukuliwa mbinguni. na siku aliyochukuliwa lilitokea tetemeko pamoja na wingu kubwa sana wakamuona huyo nabii akipaa mbinguni. Hiyo siku sijui nilikua wapi maana sijawahi sikia tetemeko

iko kwenye youtube.....mazishi ya nabii eliya..
 
Huyu mjane anahaki kabisa ya kujimilikisha mali ya mumewe...Maana kanisa lilikuwa la huyo nabii Munisi..

Hapa ndio utaona Kanisa Katoliki litadumu milele....Makanisa yote ya walokole mchungaji/ Nabii akifa na makanisa yao yanakufa...
 
Acha chuki binafsi ndugu kwa wachaga uunapotoa maoni tafiti kwanza. Wamiliki na waanzilishi hawa ni Wachaga?: Kakobe, MWINGIRA, Lwakatare, Fernando, Gamanywa, Gwajima, Lusekelo, Katunzi, Maboya, Mkombo, Winners, Yaspi, Kulola, Bendera, Malisa, Makuti Kawe, GeoDave list continues. Hawa nao wako vizuri kimaisha wengine hadi kumiliki ndege. Hao ni Wachaga? Aliyeachiwa Sloam si Mchaga ni Mha msomi Wa PhD naye anaendelea vizuri. Hujaona msaada waliotoa kwa jamii wiki iliyopita?
 
Kuna kanisa lao hao jamaa nalifahamu Kibaigwa. Ni kama linapoteza waumini kila kukicha. Walikuwa na mbwembwe za kupiga mziki mkubwa kila saa kumi alfajiri siku hizi hakuna hiyo. Na hii imeanza baada ya Munuo kufariki.
Ndo shida moja ya Makanisa ya Walokole..Kanisa linakuwa si taasisi bali ni mali ya mtu binafsi...Na mtu anakwenda kanisani kwa ajili kuna mchungaji fulani na fulani ......"mimi nasali kwa Mwingira, kwa Kakobe, Gwajima, Rwakatare...."
Kanisa limekuwa ni mali ya mtu binafsi..

Ikatokea mtu huyo kafariki basi na kanisa linakufa moja kwa moja.

Ndio maana Kanisa Katoliki litadumu milele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…