Utashi Wa Dr. Slaa na Chadema waanza kunitia mashaka...

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,174
Kweli tulishabikia sana Chadema lakini wenzetu husema mwanajeshi bora huonekana siku kuna vita na hapa Dr. SLaa na Chadema bila ya kuwaficheni wanapata maksi kidogo nayo ni "D"...............................Nitafafanua............................

Leo gazeti la Mwanahalisi linatuhabarisha ya kuwa Dr. Slaa akidai ya kuwa watamshitaki JK Mahakamani kama hataanzisha mchakato wa katiba mpya.................jamani huyu ni mwanasheria kweli au mbambaishaji?

JK na CCM kwenye Ilani yao ya uchaguzi hawajawaahidi watanzania katiba mpya sasa utampeleka mahakamani kwa kutotekeleza Ilani ya chama chako ambacho kimeshindwa uchaguzi na wewe kukiri kwa kutokwenda mahakamani na kudai haki yako ya kimsingi.......................................

Huu kama siyo udhaifu wa kiuongozi basi nini?
 
hujawahi kumshabikia slaa wala chadema acha unafiki
Nina zaidi ya makala 50 kabla na baada ya uchaguzi zakuifagilia Chadema na Dr. Slaa......................kwa hiyo check your facts properly before you ooze out this halitosis...........................

Moja ya makala hiyo ni.........................."After Nyerere, only Dr Slaa has moral authority.".......................JF iliipa five stars kutokana na umuhimu wake........................na zipo nyingine nyingi...................five starred articles.........................
 
dont degrade yourself to that extent. Mamboa mengi yanyoandikwa magazetini ni kwa mtazamo wa mwandishi/waandishi. Hata tamko la chadema la kutotambua matoke kwa kiwango was distorted ni maan chadema wakalazimika to the facts right.
 
Nina zaidi ya makala 50 kabla na baada ya uchaguzi zakuifagilia Chadema na Dr. Slaa......................kwa hiyo check your facts properly before you ooze out this halitosis...........................

Moja ya makala hiyo ni.........................."After Nyerere, only Dr Slaa has moral authority.".......................JF iliipa five stars kutokana na umuhimu wake........................na zipo nyingine nyingi...................five starred articles.........................

ndugu yangu kuna watu wamegeuza jukwaa hili kuwa la upatu kwa chadema, wao nanataka yaliyomo mioyoni mwao ndio yawe kwa wengine, if you dare to speak the truth utaambulia matusi tupu, yaani mpaka hili jukwaa limekuwa la upuuzi tu
 
Kweli tulishabikia sana Chadema lakini wenzetu husema mwanajeshi bora huonekana siku kuna vita na hapa Dr. SLaa na Chadema bila ya kuwaficheni wanapata maksi kidogo nayo ni "D"...............................Nitafafanua............................

Leo gazeti la Mwanahalisi linatuhabarisha ya kuwa Dr. Slaa akidai ya kuwa watamshitaki JK Mahakamani kama hataanzisha mchakato wa katiba mpya.................jamani huyu ni mwanasheria kweli au mbambaishaji?

JK na CCM kwenye Ilani yao ya uchaguzi hawajawaahidi watanzania katiba mpya sasa utampeleka mahakamani kwa kutotekeleza Ilani ya chama chako ambacho kimeshindwa uchaguzi na wewe kukiri kwa kutokwenda mahakamani na kudai haki yako ya kimsingi.......................................

Huu kama siyo udhaifu wa kiuongozi basi nini?

Sidhani kama umelisoma hilo gazeti.Umekurupuka kama kibaka. Hakusema atamshitaki mahakamani. Kanunue gazeti ni Tshs.500/= tu. Usilete hoja hapa bila utafiti tosha. Hukuwa wa chadema wewe usitudanganye.
 
Nasita kuchangia hoja ambayo haikufanyiwa utafiti wa kutosha.
Naamini kwamba pamoja na kumsusia kikwete bado ameshaapishwa na anaendelea kuwa rais wa tanzania mpaka atakapomaliza muhula wake.
ila kitu kimoja dhahiri ni kwamba Upinzani ulishinda ila dola iliiba kura kwa niaba ya ccm.

Naangalia yanayoendelea bila kushabikia. najua wengi mna homa ya bara za la mawaziri ambao watapewa ulaji mpya wa kuwatafuna watanzania kwa another 5 yrs.
 
We ndo unajiita public policy analyst. You obviously have a long way to become a real one!
 
Naogopa saaaana kusema chochote hapa! Wacha niitumie fursa hii kufanya utafiti wa kina na nitakuja na majibu :teeth:
 
Thanks rutashibanyuma

Nadhani slaa amekusikia kwani me memba wa JF
 
Kweli tulishabikia sana Chadema lakini wenzetu husema mwanajeshi bora huonekana siku kuna vita na hapa Dr. SLaa na Chadema bila ya kuwaficheni wanapata maksi kidogo nayo ni "D"...............................Nitafafanua............................

Leo gazeti la Mwanahalisi linatuhabarisha ya kuwa Dr. Slaa akidai ya kuwa watamshitaki JK Mahakamani kama hataanzisha mchakato wa katiba mpya.................jamani huyu ni mwanasheria kweli au mbambaishaji?

JK na CCM kwenye Ilani yao ya uchaguzi hawajawaahidi watanzania katiba mpya sasa utampeleka mahakamani kwa kutotekeleza Ilani ya chama chako ambacho kimeshindwa uchaguzi na wewe kukiri kwa kutokwenda mahakamani na kudai haki yako ya kimsingi.......................................

Huu kama siyo udhaifu wa kiuongozi basi nini?

Umesoma gazeti vizuri au umesoma heading tu? Pls do not degrade urself...read fully ...ulipasi vipi mitihani yako wewe?
 
Bila ya kujali nini kinachosemwa kwenye gazeti husika, mvutano huu ni ishara tosha ya kuwa hivi sasa kuna ombwe linalofanya watu wenye mapenzi na chadema washindwe kujua kinachoendelea. It's about time chadema should pull up it's socks and show the way. You can never expect to win if you negotiate from a position of weakness. The tyranny of the status quo can only be overturned by a crises- real or perceived. chadema will only succeed to bring meaningful change if it can succeed to throw ccm into such a crises.
 
Kweli tulishabikia sana Chadema lakini wenzetu husema mwanajeshi bora huonekana siku kuna vita na hapa Dr. SLaa na Chadema bila ya kuwaficheni wanapata maksi kidogo nayo ni "D"...............................Nitafafanua............................

Leo gazeti la Mwanahalisi linatuhabarisha ya kuwa Dr. Slaa akidai ya kuwa watamshitaki JK Mahakamani kama hataanzisha mchakato wa katiba mpya.................jamani huyu ni mwanasheria kweli au mbambaishaji?

JK na CCM kwenye Ilani yao ya uchaguzi hawajawaahidi watanzania katiba mpya sasa utampeleka mahakamani kwa kutotekeleza Ilani ya chama chako ambacho kimeshindwa uchaguzi na wewe kukiri kwa kutokwenda mahakamani na kudai haki yako ya kimsingi.......................................

Huu kama siyo udhaifu wa kiuongozi basi nini?

1. Nilichosikia kutoka 'the horse's mouth' - kutoka kwa Mbowe na Dr Slaa ni kwamba matokeo yalichakachuliwa.
2. Kwa upande wa wabunge wale ambao, matokeo yao yamechakachiliwa wanaweza kwenda mahakamani kwa vile Katiba ya Jamhuri ya Muungano haikatazi kufanya hivyo.
3. Kwa upande wa rais, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ikishatangaza kwamba mtu fulani amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hii, basi hakuna Mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya
kuchunguza kuchaguliwa kwake [Ibara 40(7)].
4. Kutambuwa hili la mwisho wabunge wa Chadema waliamua kumshtaki Rais kwa umma kwa kutoka nje ya Bunge kabla ya Rais Jakaya Kikwete hajatoa hotuba kwa vile walijua ndio njia pekee ya kuwasilisha ujumbe wao kuwa hawakubaliana na mfumo/mchakato uliotumika kumweka madarakani.

5. Hivyo, mimi naamini zaidi nilichokisikia kutoka kwa wahusika wenyewe kuliko kile ambacho wewe unakisema umekisoma gazetini kwa vile naamini gazeti siyo Mbowe, Dr Slaa au Chadema.
 
Back
Top Bottom