Black Opal
Senior Member
- Jan 22, 2023
- 199
- 253
Wazee wa madikodiko kwema?
Xmas hiyo inakuja, umejipanga kutoka na sotojo gani?
Kwa upande wangu najua pilau na juice moja matata havitakosa kwenye menu yangu, vingine hivyo vitakuwa vya ziada tu ula ubweche huu lazima ufinywagwe siku hiyo.
Vipi kwa upande wako, umejipanga kupika nini Xmas? Tuambie na wengine tupate kuongeza/kupika vitu vipya.
Ukiweka na ka picha ka msosi utakaopika, hata na recipe kama unajua msosi huo haujulikani kwa wengi itakuwa vizuri.
Twende kazi.
Xmas hiyo inakuja, umejipanga kutoka na sotojo gani?
Kwa upande wangu najua pilau na juice moja matata havitakosa kwenye menu yangu, vingine hivyo vitakuwa vya ziada tu ula ubweche huu lazima ufinywagwe siku hiyo.
Vipi kwa upande wako, umejipanga kupika nini Xmas? Tuambie na wengine tupate kuongeza/kupika vitu vipya.
Ukiweka na ka picha ka msosi utakaopika, hata na recipe kama unajua msosi huo haujulikani kwa wengi itakuwa vizuri.
Twende kazi.