Utapeli wa wanawake..

Hizo ni dalili kua demu hakutaki mkuu wala usingaike naye chief. Hizo silaha unazotuma ili umuone hifadhi ufanyie mambo yako yamsingi
 
20k ndio shilingi ngapi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi hawaoni mbali wanaona kama wanatukomoa
 
Sio huyo wako tu saiv mademu naona wamepatana iwe hivyo maana hata mimi kuna mtu kasema nimtumie nauli aje afu kapita kushoto na 3500πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ila kwangu atalipa yanπŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•
 
Hawa ndio wanasababisha wengine wakose kupewa hela hata wakiwa na njaa kweli...ila daah twentyπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚unamblock person?!chaaah!!!
Bora ya huyo wa 20k je huyu wa 3500πŸ™ŒπŸΏπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
sijalia Ila nmemsikitikia, na imenishangaza.. Yaan pesa ndogo hivo mtu anakosa uaminifu.. Nimemuhurumia mno

Mkuu hiyo 20 ni kubwa mno kwani asubuhi anapata makande na chai Tsh 700, mchana mihogo na Pepsi moja Tsh 1000 hivyo jioni ana nauli ya kuendea kijiweni na kianzio tosha kabisa cha Heinken moja Bariiiidi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…