Ndugu umenenaHapo Dawa ya hili suala lipo kwenye Mikataba.
Sheria ya mauziano ya nyumba zipo, ambapo Serikali inatakiwa ishirikishwe na kodi ya TRA kulipwa.
-Sheria imetaja wazi haki za manunuzi na za muuzaji.
-Lazima muwekeane kipengele cha gurantee.