Ndugu zangu habari ya weekend.... Kuna matapeli walitoa matangazo ya kazi kwa kivuli cha mgodi wa Shanta mining, nami pia ni mmoja wapo niliyeomba nafasi tangazo nililiona njombe. Leo wamenipigia simu wanasema niwatumie laki moja na nusu (150,000) kama ada ya majibu... Wakati naendelea kumhoji majibu gani akakata simu. Kwa wale wote tulioomba hizo nafasi hazipo ni uongo ni mataperi. Tushirikiane kuwaripoti kwenye vyombo vya usalama.