Tigo wezi ata makato yao sio sh1 kwa sekunde kama wanavyodai na kwenye akounti za tigo pesa wao wanaiba fedha za watu bila ya kutoa maelezo yeyote
tunaomba tume ya mawasiliano ianze kudhibiti wizi na pia kuangalia kama kampuni hizi zinalipa kodi ipasavyo.. nadhani ipitishwe sheria ya kuweka mkurugenzi mmoja nanayewakilisha serikali katika haya makampuni makubwa kuzuia wizi wao
tunaomba tume ya mawasiliano ianze kudhibiti wizi na pia kuangalia kama kampuni hizi zinalipa kodi ipasavyo.. nadhani ipitishwe sheria ya kuweka mkurugenzi mmoja nanayewakilisha serikali katika haya makampuni makubwa kuzuia wizi wao