DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,353
Muamala wa mwisho kuufanya ni lini? Inawezekana hata ndugu wa karibu kahusika. Lazima alikuwa na password aisee. No other way hapo. Itakuwa walimlia njaro kwa muda.Hakufanya muamala wowote. Simu ilikuwa kwenye pochi muda wote, aliitoa alipooombwa apige simu.
