Hata Marekani wanawake wameshaingizwa mkenge kwa kudanganywa na wanaume eti wao ni secret service. Na hawasikii lila siku kwenye dating sites wanadanganywa tu hivyo.Jamani utapeli mpya, ukipata mwanaume akasema yeye ni usalama wa taifa jua unataka kutapeliwa, wadada watatu wameibiwa. Wa kwanza milion 5 wa pili milion 3 na wa 3 milioni 5....anaejuq kuandika anipe namba nimsimulie
Hata Marekani wanawake wameshaingizwa mkenge kwa kudanganywa na wanaume eti wao ni secret service. Na hawasikii lila siku kwenye dating sites wanadanganywa tu hivyo.
Chamwino kila m2 usalama
Unataka namba za watu uwaambie wakutumie na ya kutolea? Mashoga wengi siku hizi.Jamani utapeli mpya, ukipata mwanaume akasema yeye ni usalama wa taifa jua unataka kutapeliwa, wadada watatu wameibiwa. Wa kwanza milion 5 wa pili milion 3 na wa 3 milioni 5....anaejuq kuandika anipe namba nimsimulie
Mbona Tz uzumbukuku ni mkubwa sana kiasi hiki???Kwani usalama wa taifa ndio kitu gani mpaka watu wanazuzuka pakubwa kiasi hiki????Jamani utapeli mpya, ukipata mwanaume akasema yeye ni usalama wa taifa jua unataka kutapeliwa, wadada watatu wameibiwa. Wa kwanza milion 5 wa pili milion 3 na wa 3 milioni 5....anaejuq kuandika anipe namba nimsimulie
We kama umetapaliwa na matapeli usituunganishe wanaume wote bhana, sisi wengine ni wanaume wa shokaJamani utapeli mpya, ukipata mwanaume akasema yeye ni usalama wa taifa jua unataka kutapeliwa, wadada watatu wameibiwa. Wa kwanza milion 5 wa pili milion 3 na wa 3 milioni 5....anaejuq kuandika anipe namba nimsimulie