Utapeli mpya kupitia kampuni ya Azam

We acha Tu......
 
Pole shemeji ungeniambia niwaulimbokishe wakome..
Shemeji nimekumis na umsalimie laaziz wangu.
Hahaha sasa si unalala naye mi ni msalimieeeeee. Tena?! Vipi yule WA badoo anayepupu umemuacha?!
 
Lawama hazipaswi jutupiwa kwa azam bali zitupiwe kwa huyo tapeli na jamaa yako mpenda kula kula ovyo vitu vya dezo.

Mbona hayo ni madawa ya kulevya wamemchanganyia kwenye juice, wangeweza pia kumuwekea kwenye ndizi, biscuit, chungwa, soda za kopo nk

Jambo la muhim ni kuepuka kula kula ovyo tena vyakula vya kupewa na watu usiowajua kwenye usafiri wa umma.

Poleni sana,
 

Huyo mtu alizima kwenye gari? Kama alizima kwenye gari iliwezekana vipi jamaa am search na kuchukua kila kitu hadi hizo laptop bila abiria kujua?..alitokaje kwenye gari mpaka hospitali?..hebu tusaidie kidogo habari muhimu sana hii iweke sawa tuchukue tahadhali
 
Laptop zilikua kwenye begi moja, simu mfukoni Na pochi mfuko WA nyuma, si unajua gari Ni ya route ndefu, yeye wakati huo alikua kazima tayari, cha ajabu alipanda gari ya K'koo - Tegeta Nyuki, but dereva WA Bodaboda ambaye alimpeleka kwake akisema anamjua, anasema alishushwa Na gari ya Bunju-Makumbusho! Ilikua jioni, kumbuka safari ilianzia K'koo, mwana anasema kumbukumbu zake zilikata Magomeni?
 


anasema ni jamaa yake tena walipanda gari MOJA it means aliona jamaa mchezo unavyokwenda kwa nini hakumsaidia?
 
Mimi hata kabla ya huu utapeli siwezi na sitaweza kupewa chochote cha kula na mtu nisiyemjua hata kama akinunua naona huwa siwezi kula kwnye gari
 

= Inayojishughulisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…