Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,295
- 60,915
Hamna bhana,. Siku nyingine mfanye kwenye Noah au Alphard wacha kabisaTulilikuta wamelipaki kwenye fensi na kuku wamejipumzisha.Tukawatoa nduki kuku ili mimi na bi.Kinaja tuvunje amri za usizini na usitamani Mke wa wenyewe.There was no vibes at all!Nilikosea wapi?
