Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,431
Wasukuma tunataka haki yetu ya msingi ya kutambulika kama kabila photogenic zaidi duniani.
Huu ubunifu wa wapi tena?[ATTACView attachment 1182036
Changamoto nyingine hiyo
Wapare nao hawapo nyuma kwa mapicha picha😁Huu ubunifu wa wapi tena?








Tekenya tugeuke mishikaki
Mmakonde kapiga dude la Sumbawanga
Bebi keya ya Naliendele hiyo..
Habari yako!Ulinsukuma gete u bhebhe ?
Nzuri kabisa.Habari yako!
Duuh aiseeHuu ni Uzi wa Picha za utani, za kuchekesha, kuburudisha na kufundisha kutokana na utani wa makabila mbalimbali.
Wasukuma tunataka haki yetu ya msingi ya kutambulika kama kabila photogenic zaidi duniani.View attachment 1182034
View attachment 1182034