Utani utani mwisho huwa kweli..

Utani utani mwisho huwa kweli..

Hapa kuna mtu kachungiliwa kifua au ndiyo kilikuwa kifunguliwe. Kwanza asilimia kubwa wanaume huwatongoza wanawake . hapi hapatofautiani na mtu kutuma maombi ya kazi.na pindi unapotima maombi kuna mawili upate au usipate. Hivyo basi wewe ni mke wa mtu ambaye tayari unajua hakuna nafasi ya mwanaume mwingine kwa nini ukubali kuchezewa? Akipita huyo ukihama ofisi atapita tena na mwingine. Wanawake mnajua udhaifu wa mwanaume ni mwanamke kwa nini ujirahisi?

Wanaume kweli wengi ni wakware na vichwa vyao vyote vinafanya kazi kwa haraka na vinaweza kusababisha faida au hasara kwa mhusika. Kichwa cha chini kikidhamiria kinahonga hata gari kupitia kichwa cha juu,hivyo wanaume tujitahidi kukinzana na hii hali ya kichwa cha chini. Baadhi wanasema short call ni tamu ila inamadhara sana
 
Ni usiku mwingine, kwa wanafamilia baba mama kama upo nyumbani mida hii ubarikiwe sana and God bless you for being responsible. Nakama upo mihangaikoni pia barikiwa sana lakini nyie mliopo kwenye konakona nyie mungu anawaona.
Mtu mwenye akili timamu haiti waume/ wake za watu petty names. Huwez kuwa mwenye adabu na unaita mume/ mke wa mtu switie, baby, honey, mpenzi na mkikutana kama ni ofisini unajibebisha na kujidekeza kabisa na halafu unasema ni utani....Haya mautani baadae yanageukaga yanakua kweli. Unaweza kumtania tania namna hiyo na ukute kwake hajaitwa namna hiyo tangu walipofunga ndoa, ukute kwake hafanyiwi hivyo akaamua kufanya kweli na ukashindwa kujitoa. Wengine mnatania tania kumbe moyoni mnaombea iwe kweli. Fanya utani kwingine lakini sio waume/ wake za watu. Ndoa na iheshimiwe na watu wote. Heshimu ndoa za watu. And viceversa is true...
Wanaume mnalijua hili ''!??? Wanawake tunapenda na tunafurahi sana kuona waume zetu mpo nyumbani usiku fulani hivi wa kutatanisha. Hata kama tumetofautiana ule uwepo wako nyumbani mapema tu kimoyomoyo tunakua na amani hata mambo yanaeza soviwa bila hata nyie kujua.
Tanzania bila michepuko Inawezekana!
Tukubaliane mambo mengine hayatupeleki mbinguni!

Nihayo tu kwaleo
Laiti wanaume wote na wanawake wangekuwa na mawazo kama yako dunia ingekuwa sehemu nzuri na salama sana kuishi. Lakini doooo.. .....hee... we acha tu!!!!
 
Hili linagusa wengi sana


Umiliki wa nyumba ndogo hapa Bongo ni fasheni kitamboooo.....serikali inabidi ihalalishe tu kuwa na wake zaidi ya mmoja. Lakini hata hivyo sidhani kama watu wataridhika, bado watataka kumiliki nyumba ndogo tu.
 
Ni usiku mwingine, kwa wanafamilia baba mama kama upo nyumbani mida hii ubarikiwe sana and God bless you for being responsible. Nakama upo mihangaikoni pia barikiwa sana lakini nyie mliopo kwenye konakona nyie mungu anawaona.
Mtu mwenye akili timamu haiti waume/ wake za watu petty names. Huwez kuwa mwenye adabu na unaita mume/ mke wa mtu switie, baby, honey, mpenzi na mkikutana kama ni ofisini unajibebisha na kujidekeza kabisa na halafu unasema ni utani....Haya mautani baadae yanageukaga yanakua kweli. Unaweza kumtania tania namna hiyo na ukute kwake hajaitwa namna hiyo tangu walipofunga ndoa, ukute kwake hafanyiwi hivyo akaamua kufanya kweli na ukashindwa kujitoa. Wengine mnatania tania kumbe moyoni mnaombea iwe kweli. Fanya utani kwingine lakini sio waume/ wake za watu. Ndoa na iheshimiwe na watu wote. Heshimu ndoa za watu. And viceversa is true...
Wanaume mnalijua hili ''!??? Wanawake tunapenda na tunafurahi sana kuona waume zetu mpo nyumbani usiku fulani hivi wa kutatanisha. Hata kama tumetofautiana ule uwepo wako nyumbani mapema tu kimoyomoyo tunakua na amani hata mambo yanaeza soviwa bila hata nyie kujua.
Tanzania bila michepuko Inawezekana!
Tukubaliane mambo mengine hayatupeleki mbinguni!

Nihayo tu kwaleo
Kumbe na wewe umeolewa ck hiz sjui sasa niache kukuita bby maana nimezoea mwenzio ujue
 
Sasa mimi nikitaniana na wewe ofisini mmeo anajuaje!??
 
Back
Top Bottom