Ameyataka mwenyewe.
Mafufuli ameuza sana jina la nchi.
Siyo utani bali ni matokeo ya upumbavu wake anao uanika kwenye jamii ya kimataifa
HIVI KUMBE HADI WATU WA NJE WANAIJUA HII ISHU??! HII KALI
Mimi namtoa BWM kwa kuwa tuko hapa kwa matokeo ya wana Mtandao wale wa u-Rais wa 2005. Halafu JAKAYA alipofika madarakani yeye na mshirika wake LOWASA walianza kwa kumchafua BWM. Wakamtengenezea kashfa ya Mgodi wa Kiwira through TANPOWER. wakasema mpaka akadharaulika mbele ya jamii.
Wako sahihi, ni yale maombi ya wizara ya afya ya siku tatu dhidi ya Corona!Yaani papaya linafanyiwa maombi eti ili kuondoa pepo la corona; kweli!!
Yan Sote tunaonekana Wajinga Kumbe Mjinga ni mmoja tu
Ni Sawa kabisaYaani papaya linafanyiwa maombi eti ili kuondoa pepo la corona; kweli!!
Mkuu, hakuna hata cha ajabu, maana mwingine aweza kuona utani,Sawa, lakini mwingine anaweza kuona kinyume chake kwamba, watu kumbe wanazidi kufumbuliwa macho hivyo wawe makini na kila kitu
Huku ni kukosa adabu.