Utamwelezaje huyu baba ili aache tabia yake mbaya??

Utamwelezaje huyu baba ili aache tabia yake mbaya??

2gether

Member
Joined
Mar 14, 2012
Posts
29
Reaction score
10
Ni Baba yako mzazi (70-75age), anamtaka housegirl(20-25 age) kimapenzi tena kwa nguvu. Mama yako mzazi(65-68age) yupo; ndg zako wapo na kila mmoja analifahamu hili ila wanaogopa namna ya kumweleza baba.. maana baba ni mkali sana...ungekua wewe ungefanyaje, ungeanzaje kumweleza huyu baba ambae ameshindwa kujitambua???? Nisaidieni.
 
Ni Baba yako mzazi (70-75age), anamtaka housegirl(20-25 age) kimapenzi tena kwa nguvu. Mama yako mzazi(65-68age) yupo; ndg zako wapo na kila mmoja analifahamu hili ila wanaogopa namna ya kumweleza baba.. maana baba ni mkali sana...ungekua wewe ungefanyaje, ungeanzaje kumweleza huyu baba ambae ameshindwa kujitambua???? Nisaidieni.

Nitamwambia hivi; "Baba juzi tulipoenda sokoni tulipita moja kwa moja hadi Amana Hospital, kumbe Dada anahudhuria Clinic ya waathirika wa UKIMWI, namuona kila siku anakunywa dawa anasema ni vidonge vya RAV-4"
 
mkimwambia baba ataweza mfanya kitu kibaya house girl kitu kirahisi na ni kumwondoa housegirl. ili muwe na amani. mibaba ya hivi inakera sana mtoto wa watu yupo kazini unataka kumdocha ili iweje,....
 
Back
Top Bottom