Utamu wa wakubwa!!

Utamu wa wakubwa!!

Si mlinganyo na niliyopata, mbinu mpya hiyo, hanaje sasa😂 sio miyeyusho na anajua, sistahilije tena jamani🤣 kwani kupewa pesa kunatakiwa uweje lol
binafsi naangalia na mtu wa kumpa,mwingine akiomba laki unampa hata laki mbili, ila mwingine akiomba 50k tu unampa 20k ,kwa hadhi yake kwangu,ingawa yeye anaeza kujiona yuko juu
 
binafsi naangalia na mtu wa kumpa,mwingine akiomba laki unampa hata laki mbili, ila mwingine akiomba 50k tu unampa 20k ,kwa hadhi yake kwangu,ingawa yeye anaeza kujiona yuko juu
Jamani hebu naomba unipe hivyo vigezo vyako nianze kujichekecha mwenyewe kwanza haiwezekani mnatugawa kwa makundi kwenye kugawa pesa ila wakati wa kuomba mbunye hamzingatii hayo😁
 
hahahahaha,ndio sijasema hakupi ila ukiona hakupi , yale mambo matatu moja wapo lichukue
Hahaaa! Basi mimi naona kila mmoja na mtazamo wake, unaweza usimpe wewe mwingine akampa, au unayempa elfu 20 mwingine akampa elfu 10, ndio maana nauliza mnapima kwa vigezo vipi?
 
Hmm mimi humu kwakweli najiachia hata sijali wala nini🤣 kama kuna mtu ananizingatia kwakweli atakoma🤭
hahahahahaha,sasa unaeza jiachia humu kumbe raia wana note siku anakujua ,anataka kukusaidia akikumbuka unavyojiachia humu ana hawa ndio wale wale wakupewa 10k bila ya kutolea
 
hahahahahaha,sasa unaeza jiachia humu kumbe raia wana note siku anakujua ,anataka kukusaidia akikumbuka unavyojiachia humu ana hawa ndio wale wale wakupewa 10k bila ya kutolea
Aah hapana aisee, yani nijibane huku nje na huku ndanj? Aache tu nitasaidika na walio nje😅
 
Back
Top Bottom