Utamu wa wakubwa!!

Utamu wa wakubwa!!

Si nimetuma ujumbe niongezewe pesa so far nina hiyo, au kuna namna ya kuomba na hamsemi🙆🏽‍♀️ si mlianza wenyewe kuleta habari za kuongezea hamtaki kutoa kila kitu, nimemrahisishia sana bado mnatuita omba omba😁
hahahahahaha,yaani umeomba kuongezewa Milioni ,kazingua? subiri wiki hii si ndio watu wanapata mshahara atakupa,maybe uko kwenye list ila sasa bajeti ndio imekaa vby kwake...( namtetea jamaa hata simjui)
 
hahahahahaha,yaani umeomba kuongezewa Milioni ,kazingua? subiri wiki hii si ndio watu wanapata mshahara atakupa,maybe uko kwenye list ila sasa bajeti ndio imekaa vby kwake...( namtetea jamaa hata simjui)
Mimi sijamlimit, anajishtukia mwenyewe japo anajua akitoa chini ya nusu miyeyusho, ngoja tuone mpaka leo mshahara gani huo haujatoka tu🤔
 
Mimi sijamlimit, anajishtukia mwenyewe japo anajua akitoa chini ya nusu miyeyusho, ngoja tuone mpaka leo mshahara gani huo haujatoka tu🤔
hahahaha,chini ya nusu ndio kiasi gani hicho atoe? mpe muda ukiona kimya ujue 1. hana 2.ameona hicho kitu miyeyusho 3. maybe hustahili hiyo hela
 
hahahaha,chini ya nusu ndio kiasi gani hicho atoe? mpe muda ukiona kimya ujue 1. hana 2.ameona hicho kitu miyeyusho 3. maybe hustahili hiyo hela
Si mlinganyo na niliyopata, mbinu mpya hiyo, hanaje sasa😂 sio miyeyusho na anajua, sistahilije tena jamani🤣 kwani kupewa pesa kunatakiwa uweje lol
 
Si mlinganyo na niliyopata, mbinu mpya hiyo, hanaje sasa😂 sio miyeyusho na anajua, sistahilije tena jamani🤣 kwani kupewa pesa kunatakiwa uweje lol
hahahaaha,kama ulifanya mlinganyo na umetumia mbinu zako mpya na bado hajakupa ,rejea kwenye yale matatu ,moja wapo ndilo
 
Back
Top Bottom