Mmmmh kiaje sasa, uzuri gani kwanza? Wa sura? Wa tabia? Wa umbo? Wa rangi? Wa akili? Au ??????.
Hahaaa.....akchuale inaweza kusemwa pia utamu ni kipimo cha uchungu.....ili uone ni kitamu, basi shurti uwe unaujua uchungu......
Huwezi kuijua raha bila kujua karaha inafananaje....