Utamu upo wapi?

Utamu upo wapi?

Miss chaga kwani sikio na kidole kipi kinaona raha zaidi mm naona sikio ndio huona raha zaidi kuliko kidole hasa likiwa linawasha

sikio na kidole sawa, sikio ndo linaona raha lakini kule mbona nyie ndo mnaomba kukuna nadhani ni kwa sababu mnapata raha...
 
we miss chagga unakataa kukununwa? halafu naona maombi mengi sana ya kukukuna humu MMU, kulikoni miss? it seem you are very delicious uhuhhhh!

hawa wanafanya utani hawamaanishi... na me sijawambia nataka kufanyiwa hivyo kwa sababu me siwashwi, okey. about to be delicios siwezi jua ma self waache tu.....
 
ukimpata mkunaji anaejua kukuna wote mtaupata huo utamu

ila kuna wakunaji wengine looh...we wawashwa mgongoni ye anakukuna miguuni


Ni kweli kabisa HEAVEN maana haya mambo ni ya kushirikiana na kujituma so, mkijituma wote mnapata utamu wote, otherwise atapata mmoja tena anaehangaikia hiyo mambo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom