Utamu upo wapi?

Utamu upo wapi?

ukimpata mkunaji anaejua kukuna wote mtaupata huo utamu

ila kuna wakunaji wengine looh...we wawashwa mgongoni ye anakukuna miguuni

Dunia hii ya leo wakunaji wachache sanaaaa!
Kuna kilio kikubwa sana kipande iyo ya pili. Sijui ni hizi chips au kisukari
 
Wadau,hivi kale kawimbo aliimbaga nani?Kanasema hv"mkunwa na mkunaji muona raha ni nani?Nimekasikiliza lakn sijapata jibu hivi ni nani hupata Monde(Utamu)?...

Jaribu kukuna sikio lako (wakati linawasha) kwa kidole chako, then uje utuambie kati ya kidole na sikio kipi kilipoa? Then extrapolate hiyo findings kwa case yako hii.
 
Tatizo wakunwaji wengine wamezidi masharti. Raha kwao ni kukunwa sehemu moja tu. Kwingine hata ufanye nn kuna ganzi ya kudumu. Sasa hiyo kazi ya kulenga sehemu moja muda wote ni Sawa na adhabu.
 
Tatizo wakunwaji wengine wamezidi masharti. Raha kwao ni kukunwa sehemu moja tu. Kwingine hata ufanye nn kuna ganzi ya kudumu. Sasa hiyo kazi ya kulenga sehemu moja muda wote ni Sawa na adhabu.

hahahahaha!
 
Dunia hii ya leo wakunaji wachache sanaaaa!
Kuna kilio kikubwa sana kipande iyo ya pili. Sijui ni hizi chips au kisukari

Vyakula vya cku hzi majanga, unakuta mtu yote under 30 lakini ana bonge la ktambi, so tuzingatie discipline ya kula na mazoezi ya kutosha
 
Tatizo wakunwaji wengine wamezidi masharti. Raha kwao ni kukunwa sehemu moja tu. Kwingine hata ufanye nn kuna ganzi ya kudumu. Sasa hiyo kazi ya kulenga sehemu moja muda wote ni Sawa na adhabu.
Kwa hiyo wewe unataka kutumia line zote, TIGO na VODA? Mbona majanga
 
Dunia hii ya leo wakunaji wachache sanaaaa!
Kuna kilio kikubwa sana kipande iyo ya pili. Sijui ni hizi chips au kisukari

Vyakula vya cku hzi majanga, unakuta mtu yupo under 30 lakini ana bonge la ktambi, so tuzingatie discipline ya kula na mazoezi ya kutosha
 
Tatizo wakunwaji wengine wamezidi masharti. Raha kwao ni kukunwa sehemu moja tu. Kwingine hata ufanye nn kuna ganzi ya kudumu. Sasa hiyo kazi ya kulenga sehemu moja muda wote ni Sawa na adhabu.

mmh haya makubwa....sasa we unataka ukune pasipo na muwasho..?
 
Mkunwaji ndiye muona rahaa

mwimbaji hata simfahamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom