Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
ndo lunch yenyewe hiyo!!!
ndo lunch yenyewe hiyo!!!
![]()
SODA MIA SITA.... ASINGEPATA MBOGA...AU ALIKUA NA HAMU TU..
Ugali na soda..???!!!! Yaani kawapita wapare kwa mbali kigogooondo lunch yenyewe hiyo!!!
Ugali na soda..???!!!! Yaani kawapita wapare kwa mbali kigogooo
Ugali na soda..???!!!! Yaani kawapita wapare kwa mbali kigogooo
niliwahi kula wali kwa uji wa mchele..
Nilikosa mboga,mchele upo,nikaupika uji.
siku moja moja unabadili staili,mambo ya diet hayo
mambo ya bording school ugali kwa sukari.
mambo ya bording school ugali kwa sukari.
![]()
SODA MIA SITA.... ASINGEPATA MBOGA...AU ALIKUA NA HAMU TU..
jamani mbona cocacola wanaendesha mashindano kimyakimya hivyoo....Hiyo soda aliokota kizibo cha zawadi ya soda ya bure
mbona rafiki yangu enzi hizoo,alishawahi kunywa chai na blue band