jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,602
- 3,782
mbona unahasira sanaaaaaaaaHuyo mzee maninah zake, mke amlee na bado anakula hg
yupo hapo kama pambo tu, anastahili hii
mbona unahasira sanaaaaaaaaHuyo mzee maninah zake, mke amlee na bado anakula hg
yupo hapo kama pambo tu, anastahili hii
Huyo mama hana mme ana picha tu ya mme
mbona unahasira sanaaaaaaaa
Huyo mzee anakera ningekuwa mi ndo huyo maza
ningetanguliza zubeda lake la nguo nje afu nae alifate nyuma
na mateke juu pambaffff sana
naww nini? Mbona unatoka povu alaa! Kuwa mpole bhana ww hujui kwamba kuna mizigo na mafurushi?
Kuondoka Ni Vigumu, Nyumba Wanayoishi Kapanga Mama Huyo Na Kod Analipa Yeye, Baba Anataka Warudi Kwenye Nyumba Ya Urith Ambapo Mama Hatak Anakwepa Mzigo Wa Familia Ya Ukweni,
Huyo mzee anakera ningekuwa mi ndo huyo maza
ningetanguliza zubeda lake la nguo nje afu nae alifate nyuma
na mateke juu pambaffff sana