Utamsaidiaje mwenye tatizo hili?

Utamsaidiaje mwenye tatizo hili?

Tutor B

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2011
Posts
9,025
Reaction score
6,617
Ni mgogoro wa kifamilia, baba hana kazi, mama ni mjasiliamali ndo mwenye kuitunza familia na kusomesha watoto, tatizo kubwa baba hataki mke wake afanye kazi hadi usiku, akichelewa anafungiwa nje hivyo analazimika kurudi dukan kulala huko, hali hiyo ilipozid baba kaanza kuhudumiwa na hg, mama kajua na hajachukua hatua yoyote anaomba ushauri, wanandoa toeni ushauri wenu.
 
Huyo mzee maninah zake, mke amlee na bado anakula hg
yupo hapo kama pambo tu, anastahili hii
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    6.8 KB · Views: 781
Ni mgogoro wa kifamilia, baba hana kazi, mama ni mjasiliamali ndo mwenye kuitunza familia na kusomesha watoto, tatizo kubwa baba hataki mke wake afanye kazi hadi usiku, akichelewa anafungiwa nje hivyo analazimika kurudi dukan kulala huko, hali hiyo ilipozid baba kaanza kuhudumiwa na hg, mama kajua na hajachukua hatua yoyote anaomba ushauri, wanandoa toeni ushauri wenu.

mama anataka ushauri?..AANZE MBELE, HAKUNA MUDA WA KUPOTEZA KWENYE MBIO ZA MAISHA! Yaani huyo jamaa ---- wa mwisho, anashindwa hata kujiongeza kwenda kukomaa dukani huko, hata achukue vitenge dukani akatembeze mitaani yeye anang'ang'ana nyumbani kumbe mpango wake ni kupiga mashine house girl? HAYA AOWE HOUSE GIRL SASA!
 
Kuondoka Ni Vigumu, Nyumba Wanayoishi Kapanga Mama Huyo Na Kod Analipa Yeye, Baba Anataka Warudi Kwenye Nyumba Ya Urith Ambapo Mama Hatak Anakwepa Mzigo Wa Familia Ya Ukweni,
 
Kuondoka Ni Vigumu, Nyumba Wanayoishi Kapanga Mama Huyo Na Kod Analipa Yeye, Baba Anataka Warudi Kwenye Nyumba Ya Urith Ambapo Mama Hatak Anakwepa Mzigo Wa Familia Ya Ukweni,
Huyo mdingi bora angeumbwa boya akasaidia kuokoa wanaozama....
 
Kuondoka Ni Vigumu, Nyumba Wanayoishi Kapanga Mama Huyo Na Kod Analipa Yeye, Baba Anataka Warudi Kwenye Nyumba Ya Urith Ambapo Mama Hatak Anakwepa Mzigo Wa Familia Ya Ukweni,

Hayo mambo naona yamekaa kifamilia zaidi, na kwa vile wana watoto inabidi yasoviwe kifamilia. kwani yeye anaona ubaya gani kumwabia mumewe wakahangaike wote dukani? baadaye wanaweza kubuni mradi mwingine wote wakawa bize, "shetani" wa kukaa nyumbani ndiye anaharibu mambo!
 
Amuwache !! Heeegh! Kula nilipe mimi,nje nilale mimi,kodi nilipe mimi na hauz gel amt..m...e yeye?? Nyambaf ntalea wanangu kwendraa!! Huyo mwanamke anayaweza khaaa!! Akakae mwenyewe kwenye nyumba ya urithi! Shabab!!! (sijui mijanaume mingine ipoje? Loh)
 
Mwizi siku zote akiibiwa huwa anakuwa mkali saanaaaa......wivu wakijinga.....
 
Amuwache !! Heeegh! Kula nilipe mimi,nje nilale mimi,kodi nilipe mimi na hauz gel amt..m...e yeye?? Nyambaf ntalea wanangu kwendraa!! Huyo mwanamke anayaweza khaaa!! Akakae mwenyewe kwenye nyumba ya urithi! Shabab!!! (sijui mijanaume mingine ipoje? Loh)

wimbo wa majanga wa snura unahusika
 
Kuondoka Ni Vigumu, Nyumba Wanayoishi Kapanga Mama Huyo Na Kod Analipa Yeye, Baba Anataka Warudi Kwenye Nyumba Ya Urith Ambapo Mama Hatak Anakwepa Mzigo Wa Familia Ya Ukweni,

ana watoto wadogo sana?
 
Hayo mambo naona yamekaa kifamilia zaidi, na kwa vile wana watoto inabidi yasoviwe kifamilia. kwani yeye anaona ubaya gani kumwabia mumewe wakahangaike wote dukani? baadaye wanaweza kubuni mradi mwingine wote wakawa bize, "shetani" wa kukaa nyumbani ndiye anaharibu mambo!

Hakuna Cha Kifamilia Zaidi Watoto Wanaojifanya Wa Mjini Wakizeeka Ndo Hivyo, Jamaa Anashinda Ndan Alafu Mishale Ya Saa 9 Hiv Anaenda Kucheza Pooltable, Hapa Mama Inabidi Ashupae Aondokane Naye,
 
Duh! utratraa!!! kabla sijashauri lolote napenda kusikia kutoka kwa mwanamke:
Anajisikiaje moyoni?

Anampenda mumewe??

Mumewe anafanya juhudi gani kuondokana na ujobless? na kwanini hana kazi?

Mumewe alipomwambia hapendi amuone anarudi usiku alichukua hatua gani kulisolve hilo??

Ndoa walifunga au walichukuana tu? na wana watoto wangapi?

Ujobless wa mumewe una muda gani?
 
ana watoto wadogo sana?
Wa Kwanza Kagraduat Mwaka Jana Digr Ya Sheria, Wa Pili F,4 Wa Mwisho Miaka 4, Ka Mwisho Ndo Kanamwangaisha, Vinginevyo Asingekuwa Na Hg
 
Duh! utratraa!!! kabla sijashauri lolote napenda kusikia kutoka kwa mwanamke:
Anajisikiaje moyoni?

Anampenda mumewe??

Mumewe anafanya juhudi gani kuondokana na ujobless? na kwanini hana kazi?

Mumewe alipomwambia hapendi amuone anarudi usiku alichukua hatua gani kulisolve hilo??

Ndoa walifunga au walichukuana tu? na wana watoto wangapi?

Ujobless wa mumewe una muda gani?
Maswal Mengine Yameishajibiwa, La Mwanamke Anasemaje, Yeye Anasema Katoto Kadogo Akikapeleka Boding Hg Anamtimua Na Ndo Mwanzo Wa Kutopika Nyumbani, Mume Atajua La Kufanya, Ila Zaid Anataman Waachane Pa Kuanzia Ndo Bado Pagumu
 
Maswal Mengine Yameishajibiwa, La Mwanamke Anasemaje, Yeye Anasema Katoto Kadogo Akikapeleka Boding Hg Anamtimua Na Ndo Mwanzo Wa Kutopika Nyumbani, Mume Atajua La Kufanya, Ila Zaid Anataman Waachane Pa Kuanzia Ndo Bado Pagumu

OK,anasubiri nini mpaka wamuue yeye kwanza?? kama hataki tena anashindwaje pa kuanzia ilihali ushahidi upo?

yaani kwasababu ya uzinzi hiyo haina mjadala ndoa inavunjika tu,ingekuwa mambo mengine tungesema avumilie,ila

hilo la uzinzi tena na Hg ni dharau ya hali ja juu kama hana upendo tena kwa mumewe awe huru tu.
 
Back
Top Bottom