Kwani umeambiwa mwenzako hataki kuishi?
Hebu niambia kama ingekuwa ndo wewe upo katika wakati mgumu kama huo ungefanyaje?
picha inareflect mambo ambayo kwa kweli yanatukuta maishani nyakati nyingine
yaani unakuwa umezungukwa na vikwazo mpaka huoni maana ya kuendelea kuishi
He gotta grab onto FAITH tu.
Hapo namwambia amkamate nyoka amtupe majini make ndo kiumbe ambacho anaweza kupambana nacho na akakishinda nguvu!