kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
Habarini za mda huu?
Niko hapa ili tupeane maalifa mbali mbali ambayo yanaweza kutusaidia kujenga na kubomoa pia kama inawezekana.
Twende kwenye msingi wa mada kwa wataalam naomba kufahamu utamjuaje mwanamke au mshichana alietoa mimba hasa kwa Sisi vijana wabichi tunaotafuta wanawake wakuoa?
Naomba kufahamu wajuvi tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko hapa ili tupeane maalifa mbali mbali ambayo yanaweza kutusaidia kujenga na kubomoa pia kama inawezekana.
Twende kwenye msingi wa mada kwa wataalam naomba kufahamu utamjuaje mwanamke au mshichana alietoa mimba hasa kwa Sisi vijana wabichi tunaotafuta wanawake wakuoa?
Naomba kufahamu wajuvi tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
