Lissu na Seif ni mashuhuri sana kwasababu hatuna viongozi majasiri wengi nchini kwetu. Tanzania imekuwa nchi ya kuogopa tunaogopa mabeberu, tunaogopa wakenya, tunaogopa wachagga!, tunaogopa wapemba, tunaogopa ndugu zetu wa diaspora, tunaogopa serikali! .
Wakati wa wakoloni nchi yetu ilikuwa na viongozi majasiri sana Karume, Nyerere, viongozi wa kimila, kawawa. Lakini kizazi kipya cha wakina Mkapa na waliofuata ni waoga kama kuku.
Sasa wakitokea viongozi ambao ni safi hawana rekodi za rushwa na ni majasiri watu wanapenda maana hatuna mashujaa kwenye jamii zetu siku hizi. Yaani wanawake wengi ni mashujaa Yukiko wanaume. Hebu tafuta shujaa ndani ya CCM kama Halima mdee hata wanaume! hakuna. Ni tafutie watu waliowekwa vizuizini kama Seif mwaka 1987 au kwenda jela kwa Siasa, au kupigwa kwasababu ya Siasa, kuchukuliwa biashara kwasababu ya Siasa kama Mbowe hakuna na ndiyo maana kuna kundi ambalo litaenselea kuwahabikia sio kwasababu ya chama bali ushupavu wao. Msishangae watu wamehama CUF kwenda ACT na Seif sio chama ni ushupavu unaovutia watu.
Viongozi wote wanakumbukwa kwa ushujaa wao sio umri, pesa wala Kabila.
Wakati wa wakoloni nchi yetu ilikuwa na viongozi majasiri sana Karume, Nyerere, viongozi wa kimila, kawawa. Lakini kizazi kipya cha wakina Mkapa na waliofuata ni waoga kama kuku.
Sasa wakitokea viongozi ambao ni safi hawana rekodi za rushwa na ni majasiri watu wanapenda maana hatuna mashujaa kwenye jamii zetu siku hizi. Yaani wanawake wengi ni mashujaa Yukiko wanaume. Hebu tafuta shujaa ndani ya CCM kama Halima mdee hata wanaume! hakuna. Ni tafutie watu waliowekwa vizuizini kama Seif mwaka 1987 au kwenda jela kwa Siasa, au kupigwa kwasababu ya Siasa, kuchukuliwa biashara kwasababu ya Siasa kama Mbowe hakuna na ndiyo maana kuna kundi ambalo litaenselea kuwahabikia sio kwasababu ya chama bali ushupavu wao. Msishangae watu wamehama CUF kwenda ACT na Seif sio chama ni ushupavu unaovutia watu.
Viongozi wote wanakumbukwa kwa ushujaa wao sio umri, pesa wala Kabila.