hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 871
- 2,070
Wakuu,
Naona Kama watanzania hatuna Cha kuwafanya Hawa DP World na wakala wao kwasababu
Sisi ni waoga
Tunaogopa kutoa sauti zetu kukemea Mambo yasiyo mazuri kwenye nchi yetu wenyewe.
Hatuna ushirikiano
Mfano, tumewaachia watu wachache watutetee akina mdude, hatuwezi kuwa wamoja kama nchi.
Sisi sio wazalendo
Watanzania wengi tunapenda maeneo au viwanja tunavyoishi tu na sio nchi yetu , yaani mtu wa Kigoma anaona anaona Kama Dar haimhusu hata ichukuliwe yote.
Ndiyo maana viongozi na wageni wengine wanatudharau Sana kiasi kwamba wanaoona hata hatuna jitihada za kujipenda wenyewe.
Tutabaki kwenye utumwa Hadi lini?
Tutachukua hatua gani Kama wakitumia nguvu kuichukua bandari bila kuwasikiliza watanzania?
Naona Kama watanzania hatuna Cha kuwafanya Hawa DP World na wakala wao kwasababu
Sisi ni waoga
Tunaogopa kutoa sauti zetu kukemea Mambo yasiyo mazuri kwenye nchi yetu wenyewe.
Hatuna ushirikiano
Mfano, tumewaachia watu wachache watutetee akina mdude, hatuwezi kuwa wamoja kama nchi.
Sisi sio wazalendo
Watanzania wengi tunapenda maeneo au viwanja tunavyoishi tu na sio nchi yetu , yaani mtu wa Kigoma anaona anaona Kama Dar haimhusu hata ichukuliwe yote.
Ndiyo maana viongozi na wageni wengine wanatudharau Sana kiasi kwamba wanaoona hata hatuna jitihada za kujipenda wenyewe.
Tutabaki kwenye utumwa Hadi lini?
Tutachukua hatua gani Kama wakitumia nguvu kuichukua bandari bila kuwasikiliza watanzania?