Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Wakuu habarini!
Hapa nchini kwetu kuna vivutio vingi vya utalii na ni sehemu mbali mbali, kwa hili tumebarikiwa sana. Wazungu hutoka mbeli kuja huku na familia, marafiki , wachumba, wanandoa kuja kutalii tena kwa gharama nyingi! Je hapa tanzania ni asilimia ngapi ya familia (baba, mama na watoto), Wapenzi ((mke na mume)(GF & BF)) na marafiki hufanya utalii hata mara moja katika mwaka kufurahia pamoja katika mahusiano yao na kama ni asilimia ndogo vikwazo vikuu nini??? ni utamaduni, kipato ama ni nini? na tufanyaje ili tuweze kufanya hivi kama haifanyiki? :coffee::typing:
Hapa nchini kwetu kuna vivutio vingi vya utalii na ni sehemu mbali mbali, kwa hili tumebarikiwa sana. Wazungu hutoka mbeli kuja huku na familia, marafiki , wachumba, wanandoa kuja kutalii tena kwa gharama nyingi! Je hapa tanzania ni asilimia ngapi ya familia (baba, mama na watoto), Wapenzi ((mke na mume)(GF & BF)) na marafiki hufanya utalii hata mara moja katika mwaka kufurahia pamoja katika mahusiano yao na kama ni asilimia ndogo vikwazo vikuu nini??? ni utamaduni, kipato ama ni nini? na tufanyaje ili tuweze kufanya hivi kama haifanyiki? :coffee::typing: