Utalii: Simba 17 wahamishiwa katika hifadhi ya taifa ya Burigi - Chato

You are talking of something else. The link has a lot of nonsense information. Biharamulo Game reserve is just part of the larger Burigi Chato.
I know that Bihalamuro Burigi nd Kimisi game reserves they formed burigi chato national park so kama simba walikuwa eneo mojawapo bado wataendelea kuwepo na Hao waliopelekwa wataishi tu. Sioni hoja yako hapo. Sasa kama ni part wewe unajua hao simba wanapelekwa wapi au unatoa tu mapovu
 
I know that Bihalamuro Burigi nd Kimisi game reserves they formed burigi chato national park so kama simba walikuwa eneo mojawapo bado wataendelea kuwepo na Hao waliopelekwa wataishi tu. Sioni hoja yako hapo. Sasa kama ni part wewe unajua hao simba wanapelekwa wapi au unatoa tu mapovu
Soma tena original post yangu. Umeokoteza links za ajabu ajabu.
 
Hiyo habari ilikuwa kama wiki mbili au moja nyuma.

Hao Simba wamekamatiwa huko huko mkoa wa Geita kama sikosei, kuna familia mbili zilisogea sana karibu na makazi ya watu na kuweka kambi. Baadae wakaanza kuvamia mifugo na kujeruhi watu kadhaa.

Walipo ripotiwa jamaa wa hifadhi ya taifa wakaenda kuwakamata na ikaamuliwa wakishikwa wote 17 watapelekwa Chato. Na sehemu ya zoezi lenyewe la ukamataji kwenye TV ilionyeshwa na wananchi waliokuwa na wasiwasi walihojiwa.
Sawa Dr. Abasi umesikika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani wanasiasa wanafikiri wataweza kuifanya Burigi Chato sawa na Serengeti au Tarangire.

Ukweli mchungu kuuza safari kanda ya kaskazini ni rahisi zaidi kwasababu mbuga zote maarufu zipo karibu na nirahisi kumshawishi mteja kwenda huko.

Ukishuka Kilimanjaro Airport unakutana na Kilimanjaro National Park 20 kilometer,ARUSHA National Park 30 kilometers,Tarangire 70 kilometers,Manyara 70 kilometer,Ngorongoro & Serengeti 130 kilometers Hii ni parkage moja katika eneo moja.

Rubondo,Kitulo,Mahale & Gombe zipo muda mrefu lakini hazimo miongoni mwa hifadhi zinazoingiza mapato.Zipo kwasababu ya ruzuku from others Park kama Kilimanjaro,Serengeti & Ngorongoro.
Umechemka mazima
 
Nimetaarifiwa wanaweza pia kusaidia kuthibiti majangiri yanayosumbua eneo hilo, pelekeni simba wa kutosha tafadhali...
 
Bado bahari ya Hindi kuhamia Chattle...😊


Everyday is Saturday...............:cool:
 
Hata wamasai walihamishiwa arusha ngorongorona maeneo yanayozunguka kutoka ndani huko , ndiyo maana mpaka leo wana mgogoro mgogoro wa ardhi.
 
Hao Simba walienda wapi Kama walikuwepo?.
Fatilua,huwenda walihama au kutoroka na kwenda sehemu zngine ama walikufa Kama eneo halikuwa na mazngira mazuri ya uwindaji.
Waliwidwa na majangili wakati Tanzania ilipokuwa "shamba la bibi"! Tuliibiws sana, sass badi tutarudisha wanyama wetu na kuwalinda.
 
Nadhani wanasiasa wanafikiri wataweza kuifanya Burigi Chato sawa na Serengeti au Tarangire.

Ukweli mchungu kuuza safari kanda ya kaskazini ni rahisi zaidi kwasababu mbuga zote maarufu zipo karibu na nirahisi kumshawishi mteja kwenda huko.

Ukishuka Kilimanjaro Airport unakutana na Kilimanjaro National Park 20 kilometer,ARUSHA National Park 30 kilometers,Tarangire 70 kilometers,Manyara 70 kilometer,Ngorongoro & Serengeti 130 kilometers Hii ni parkage moja katika eneo moja.

Rubondo,Kitulo,Mahale & Gombe zipo muda mrefu lakini hazimo miongoni mwa hifadhi zinazoingiza mapato.Zipo kwasababu ya ruzuku from others Park kama Kilimanjaro,Serengeti & Ngorongoro.
kitulo imekua hifadhi rasmi juzi juzi tu hapo (around 2010-15 ndio imetangazwa rasmi kama hifadhi ya taifa)!
 
Hivi hakuna wataalamu wa haya mambo huko wizarani? Mbona siasa zinatuondolea uwezo wa kufikiri kabisa?
Na huko watawamaliza Sokwe wote wa Mlima virunga!

Simba Hawaii kwenye Misitu minene kama ya Biharamulo, Gombe au Virunga. Wanaishi sehemu zenye mvua chache, nyasi ndefu na vichaka vya hapa na pale.

Sasa Burigi Chato itakuwaje? ....Mungu tupe Maarifa zaidi ya Matamanio ya mioyo yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora hapa hii taarifa inaleta mantiki kabisa
Hiyo habari ilikuwa kama wiki mbili au moja nyuma.

Hao Simba wamekamatiwa huko huko mkoa wa Geita kama sikosei, kuna familia mbili zilisogea sana karibu na makazi ya watu na kuweka kambi. Baadae wakaanza kuvamia mifugo na kujeruhi watu kadhaa.

Walipo ripotiwa jamaa wa hifadhi ya taifa wakaenda kuwakamata na ikaamuliwa wakishikwa wote 17 watapelekwa Chato. Na sehemu ya zoezi lenyewe la ukamataji kwenye TV ilionyeshwa na wananchi waliokuwa na wasiwasi walihojiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom