Chum Kane
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 1,156
- 985
Nakumbuka ilikuwa mwaka 1998 tulipoonana kwa mara ya kwanza nkitoka kwenye ofisi ya Mwalimu mkuu Mrs Swai akakuomba unipeleke darasani kwani kwani nilikuwa nimepangwa darasa la sita B... you became to be my best friend back nakumbuka pia tulikuwa tukikaa dawati moja tukawa tunajiita mr and mrs Macntosh.
Ukiwa Machame girls nlikuwa moshi tech na ukiwa Masoka mi nlikuwa mweka and still close.
I loved you ila Mungu amekupenda zaidi...R.I.P Jane Mshana you will be missed forever...
Ukiwa Machame girls nlikuwa moshi tech na ukiwa Masoka mi nlikuwa mweka and still close.
I loved you ila Mungu amekupenda zaidi...R.I.P Jane Mshana you will be missed forever...